Kwakweli maisha haya we acha tu. Maana ndani ya huu mwezi ulioisha kwangu ilikuwa balaa. nalala siku chache na kesha mda mwingi . Nilikuwa bize kupita maelezo party nazo zilikuwa nyingi. Nilikuwa na majukumu mengi sana kias nikawa hadi nashindwa ku update blogs zangu. . Lakini sasa nimejipanga na natumai wadau mtafurahi . Ntajitahid niweke vitu vipya na newz kama kawa.
I la usisahau tarehe 7 ni vunja jungu party ndani ya kendwa rock . Dj nitakuwa mimi {Dj side} mwanzo mwisho. Pia kutakuwa na ngoma za kiasili. BIKIDUDE NA UNYAGO BAND watafanya mambo kuanzia saa moja hadi 6. na baada ya hapo ni kujirusha tuu mpaka bac. karibuni sana
1 comment:
kaka pole kwa kazi ndo majukumu bro
Post a Comment