Sunday, July 11, 2010

PAUL OCTOPUS AJIPATIA UMAARUFU DUNIANI


Hatimae yule pweza aliezua gumzo kwa utabiri wake wa Kombe la dunia .Jana amekamilisha utabiri wake wa mwisho baada ya kutabiri kwa uhakika kwamba Spain Itashinda dhidi ua uholanzi. .Kwa mujibu wa Mmiliki wa Pweza huyo amesema Poul hata tabiri tena kwani tayari ameshavunja record ya dunuia baada ya kukamilisha utabiri wake mkubwaa wa kombe la Dunia ambapo watu wengi duniani walikuwa wakiusubiria kwa hamu . Amesema kwa sasa Paul anastaafu kutabiri hata tabiri tena na sasa anatakiwa kuishi maisha mazuri zaid chini ya uwangalizi .

SPAIN MABIWGA WA KOMBE LA DUNIA 2010


Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini pamoja na Rais wa Fifa,Sepp Blatta wakiwa na mabingwa wapya wa Dunia mara baada ya kuwakabidhi kikombe chao cha ubingwa walioupata kwa kuifunga timu ya Taifa ya Uholanzi Goli 1-0 anablo lilifungwa na mchezaji Andres Iniesta dakika nne tu kabla ya mechi kumalizika....Spain imechukua kombe la dunia kwa mara ya kwanza. Diego FORLAN ametangazwa ndie mwanasoka bora wa Kombe la dunia baada ya kunyakua Npira wa Dhahabu, Thomas MUELLER Ametangzawa mfungaji bora wa kombe la dunia baada ya kushinda magoli 5. Pia Muller amapeta kiatu cha Dhahabu. Na hatimae kipa bora ni Iker CASILLAS baada ya kushinda clove za dhahabu

WIMBO WA BATA WAPIGW A MARUFUKU ZNZ



Kwa mujibu wa barua tulio ipata jana kutoka bodi ya sensa wimbo huu wa bata ulioimbwa na ofside trick umepigwa marufuku kipigwa kwenye Radio ,Tv , club nk . habari kamili zinakuja soon

TAMASHA LA ZIFF LAFUNGULIWA JANA RASMIN




Sunday, July 4, 2010

WAAFRICA HATUWEZI KUMSAHAU SUAREZ ALIVOTUFANYA



COOL MUZA NA VIDEO YAKE YA WANAGU WA MITAANI


Mkongwe wa Mziki wa kizazi kipya (Zenji Flava) Cool Muza ameachia video mpya ya ngoma yake inayoitwa Wanangu wa Mtaani. Katika video hiyo ameshirikiana na rapa mwingine anayeitwa Montago. Cool Muza alikuwa katika crew inayoitwa Struggling Islanders mwisho wa miaka ya tisini (wakati huo Zenji Flava inaanza kuwika).Katika video hii Pia Bingwa wa Ndondi wa Zanzibar Ashraf Suleiman nae ameweza kuuza sura akiwa katika sehem yake ya mazoezi .