Wednesday, April 27, 2011

FANS WA SEAN KINGSTON ZIMBABWE..WAMTOA NISHAI!


Artist toka Jamaica,Sean Kingston alikua nchini Zimbabwe kupiga showz kibao wakati wa sikukuu za Pasaka

Lakini baada ya kumaliza showz zake ilidaiwa kuwa alitupia kwenye mitandao ya Tweeter na Facebook account zake kuwa alitupa hela kwa fans wake wakati anapiga showz zake hizo 2 nchini Zimbabwe na kusababisha fans wake kusema sio kweli kuwa aliwatupia hela,na kwa sasa wanamuona Sean Kingston kama si mfano mzuri!

KANUMBA NA RAMSEY NOAH....WAJA NA MOVIE!


ACTORS RAMSEY NOAH (NIGERIA) NA STEVEN KANUMBA (TZ)

Mwigizaji filamu toka TZ,Steven Kanumba amefanya kazi kwa pamoja na mwigizaji maarufu toka nchini Nigeria Ramsey Noah iitwayo Devil's Kingdom

Pia humo ndani kuna kipaji kipya kabisa,Kajala na mwanamuziki toka FM Academia Patcho Mwamba na Devil's Kingdom itakua kitaani soon mwezi ujao

Tuesday, April 26, 2011

DULLY SYKES....KUISHITAKI KAMPUNI YA SIMU TZ?


Mkali toka pande za Ilala,Dully Sykes amefunguka kuwa huenda akaishitaki kampuni moja ya simu nchini Tanzania kwa kuuchukua wimbo wake mpya unaopata airtime ya kutosha kwa sasa Afrika Mashariki,Bongo Flava na kuutia kwenye caller tunes zao bila ridhaa yake! Dully alifunguka "Nashanga jamaa wa (jina kapuni) wameuchukua wimbo wangu bila ridhaa yangu na kuuweka kwenye caller tunes zao,na wakati wao wataingiza mkwanja mi sipati kitu,na mimi nimejisajili pamoja na track yangu kwa vyombo vinavyohusika kama ni mmiliki halali wa wimbo wa Bongo Flava,na yoyote atakayeutumia bila ridhaa yangu anavunja sheria"

Mwaka jana Atrist toka Kenya,DNA alitishia kuishitaki Benki ya KCB kwa kuchukua wimbo wake wa Banjuka na wao kuutumia kwenye promotion ya account kwenye TV na Radio na kuiita Bankika Tu!

Dj Side ..Its Me!!



Born 27 years ago with lots of talents, he is the one who admired the music the most in his life. That’s not another people we are talking about the best Dj in Zanzibar town, that’s Dj Side.

Said Abdalla Said is his real name grown up with five sisters and three brothers, Said’s fathers name is Abdalla who is originated from Oman and his mother is Raya who is also originated from Oman.

The name Dj Side is very famous in Zanzibar town area because of the efforts Side him self build.
Side started his professional life by taking a course to do the thing, which attracted him the most and became a Disc Jockey (DJ), then he became a radio presenter .Dj Side is said to be among the best on the Isles. His talents are acknowledged by the young and the old but, unfortunately, his close relatives frown at his rare natural gifts.

HAPPY BIRTHDAY.....TANZANIA!


Leo imetimia miaka 47 tangu Tanganyika na Zanzibar ziungane tarehe26 April 1964 na kuzaliwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,huku viongozi wa pande zote 2 enzi hizo Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliyekua Rais wa Tanzania Bara na Hayati Sheikh Abeid Amani Karume walipotia saini makubaliano ya kuungana

ESTER BEACH PARTY PIC


Picha za Kendwa Rocks | Easter Beach Party Juzi Utazipata hapa

http://www.fullbata.com/photo.album.php?evnt=29

Tuesday, April 12, 2011

FULL MOON PARTY 16/5/2011

FLEVA DJS MORE THAN DJS
Saturday 10:00pm at KENDWA ROCKS NORTH COST OF ZANZIBAR
ONCE AGAIN PARTY PEOPLEA! AS U KNOW EVERY MONTH WE HAVE FULL MOON PARTY IN ZANZIBAR. and this month is 16/4/2011 on saturday. come and have good time in paradise with new tune around the word with Dj mukada and Dj side on the 1 & 2
FLEVA DJS MORE THAN DJS

GIDDY FEAT GODZILA + YOUNG D "ONE MINUTE

FLEVA DJS MORE THAN DJS

FLEVA DJS MORE THAN DJS

SIR TINO "NISEME NISISEME

FLEVA DJS MORE THAN DJS

FLEVA DJS MORE THAN DJS

TMK WANAUME HALISI "SHUKRANI

FLEVA DJS MORE THAN DJS

FLEVA DJS MORE THAN DJS

SIDE BOY MNYAMWEZ "ACHA WASEME

FLEVA DJS MORE THAN DJS

FLEVA DJS MORE THAN DJS