Friday, December 31, 2010



THE CRUSH 2011

My wishes for you,
Great start for Jan,
Love for Feb,
Peace for March,
No worries for April,
Fun for May,
Joy for June to Nov,
Happiness for Dec,
Have a lucky and wonderful 201

Sunday, December 26, 2010



The crush 2010 Wish You A...Great, Prosperous, Blissful, Healthy, Bright, Delightful, Mind Blowing, Energetic, Terrific & Extremely ...HAPPY NEW YEAR 2011 The crush 2011

Thursday, December 23, 2010

BABY J ALA SHAV LA DUBAI


Mwana mziki maarufu wa Zanzibar katika mziki wa kizazi kipya Zenji Flava Baby J anatarajia kuondoka leo kwa shuhuli zakimuziki zaid kuelekea Oman na Dubai.Ziara hii ya Baby J anatarajia kupiga show mbili moja itakuwa Oman siku ya tarehe 25 sikukuu ya x ms na Kumalizia Dubai kwenye shamra shamra za mwaka Mpya
Hii ni mara ya kwanza kwa Mwanamziki wa kike kwenye fani ya Zenji Flava kupata bahati ya kusafiri kwa shuhuli za kimziki kwenda Ughalibuni . Baby J kwa sasa anatamba sana kwa wimbo wake Uitwao Niache ambao ameshirikina na a na Udeude ... Baby J ni mwana dada mwenye sauti ya mvuto na yeye ni nguvu ya kudumu katika sekta ya muziki hapa Zanzibar.

Wednesday, December 22, 2010

ZIFF KUSABABISHA ZNZ MKESHA WA MWAKA MPYA


Ndugu zetu wadau wa kiwanda cha filamu Tanzania, Zanzibar International Film Festival (ZIFF) inapenda kuwataarifu kuwepo kwa ZIFF Min-Festival itakayofanyika Ngome Kongwe, Zanzibar kuanzia tarehe 31/12/2010 hadi 2/01/2011, itakua ni Tamasha dogo la siku 3 katika kutoa muamko kwa Tamasha kubwa la ZIFF lijalo (2-10 Julai, 2011).

Tamasha hili dogo litajumuisha filamu za kitanzania peke yake ili kuendelea kutoa mwamko kwa watengenezaji filamu wa Tanzania kufanya vyema katika tasnia hii, Tamasha hili litaonesha filamu 6 za Kitanzania na filamu 2 bora kati ya hizo zitaenda kuoneshwa katika Tamasha kubwa la filamu Afrika - FESPACO huko Burkina Faso.
Kama ilivyo ada ya Tamasha la Filamu la Nchi za Majahazi, tutakua pia na makundi ya muziki na wakati huu kundi zima la THT litafanya maonesho kwa siku zote tatu, watakao kuwepo ni Mwasiti, Marlaw, Mataluma, Amin, Barnaba, Pipi, THT Dancers na wengineo. Kwa habari zaidi tembelea www.ziff.or.tz


Tunapenda kuwakaribisha wadau wote na waandishi wa habari katika mkutano wa waandishi wa habari utakaofanyika katika ukumbi wa Habari - Maelezo, Dar es Salaam, kuanzia saa 4 asubuhi mpaka saa 5 asubuhi kesho Jumatano, tarehe 22/12/2010

Tuesday, December 21, 2010

SIKINDE NGOMA YA UKAE NDANI YA ZNZ TAREHE 25 X MAS DAY!


Have u ever seen Devile walking naked? or Frog cross the fire? Antarakuno Sekinde ngoma ya ukae ..Daaa? Jamaa wanavamia znz tarehe 25 xmas day! Gymkana Hal... Come n see amazig! The al nite..Funika bov!!

Friday, December 17, 2010

ZAMU YAKO - METAYA NEW VIDEO



METAYAA AKA SHOOOOOOOT GUN BOOOOM!!! AMEACHIA VIDEO YAKE MPYA YA NGOMA YAKE INAYOKWENDA KWA JINA LA ZAMU YAKO . MCHIZI HII NDO NGOMA YA KWANZA KUIMBA MAPENZI . MIMI NILIDHANI JAMAA NI MGUMU TU HIP HOP KWENDA MBELE BT HAPA AMEDATA NA MTOTO WA KIZANZIBARI AMBAE ANAMWAMBIA WAENDE FORODHAN WAKALE MBATATA ZA UROJO .. DAAA NGOMA HII IMETENGENEZWA NA ARON WA JUPITER RECORD NA VIDEO IMEFANYWA NA AMSTRON DADDY JUPITER RECRD

Tuesday, December 14, 2010

UJEMBE KUTOKA KWA BERRY BLACK



MKUBWA HABARI,TAYARI NIMEWASILI KATIKA NCHI YA GERMAN IKIWA NI NCHI YA MWANZO NITAKAYOANZIA SHOW ZANGU AMBAZO NITAFANYA KUZUNGUKA EUROPE [BERRYBLACK EURO TOUR 2010/2011) ,NIMEWASILI HAPA JANA JIONI NA JAMAA WAMENIPOKEA FRESH SANA,SHOW NITAANZA MWISHO WA WIKI HII HAPA GERMAN THEN ZITAENDELEA NCHINI SWITZERLAND,HOLLAND,BELGIUM,ITALY GREECE,SWEDEN NA KWINGINEKO! MATANGAZO ZAIDI NITAKUTUMIA MKUBWA WANGU.

SALAAM KWA WOTE & HONGERA KWA KILIMANJARO STARS KWA USHINDI!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!


Sunday, December 12, 2010

BEERY KUPEPERUSHA BENDERA YA ZNZ UJERUMANI


Janaa jamaa (Berry Black)ndo amechukuwa Pipa mida ya kama saa 6 hv .. nilipokea sim kutoka kwa Berry black akinambia hivi.. Dj side Mambo vipi? Nikamjibu poa niaje? Shwari mzazii. Akaniambia Dj nakuwaga naondoka sasa na ndege ya muda huu naenda ujeruman na ntakuwa na tour ya nchi kama 4 .. Nikamuuliza mbona haflaa? Akaniambia aa sio haflaa bt sikutaka hizi habari zitoke kwanza .So ntakuwa huko mpaka new year .. Nikamuuliza show ya Dubai vipi coz mlitakiwa yew year ndio muwe Oman na Dubai kulikoni? Berry akanijibu ni kweli Bt mimi sitakwendaa . Mimi ntakuwa huku so nadhan Kina Baby J na wasanii wengine ndio wataenda Dubai..

Kila la kheri kaka Tangaza mziki wetu wa Zenjiflava ....Tunakutakia mafanikio mema.

Friday, November 26, 2010

CHRISTMAS PARTY 25


Christmas and new year is once again!! let me update you the place to be!! 25th dec gonna be amaizing night where by SEKINDE NGOMA YA UKAE wil rock the crowd live at Gymkana Hall Zanzibar til Morning!!!


Antarakuno new year day!! The roof is onfire!!! Im nut gonna tel yah whats gonna hapen thre... just be there in magereza hall .. beni la mbwa kachoka and Zanzibar One mordan Taarab for Amaizing perfomance... just come and see the new year Light togetther!!

Thursday, November 25, 2010

SIKINDE KUKANDAMIZA ZANZIBAR X MASS DAY



Christmas day we shall have a famous band from Dar es Salaam i.e Mlimani Park Orchestra (SIKINDE BAND) to join with young and upcoming artists from Zanzibar, for a performance ON 25th

Christmas is once again at hand. A famous religious celebration that calls the whole world comes together. Zanzibar, being a Tourisms Island attracts even more people from different corners to celebrate Christmas

Sunday, October 31, 2010

RICO SINGO FT AY NEW VIDEO ( SHAMPEN)



Hii ni video mpya kutoka kwa mkali wa hip hop ZANZIBAR(Rico Single)akiwa pamoja na (A.Y) wimbo unaitwa shampen,ngoma kutoka JUPITER REC ZANZIBAR video imepigwa na kampuni ya VIRTUAL LAB chini ya uongozi wa Dir-ADAM JUMA

Sunday, September 26, 2010

MTAA KWA MTAA - KING ABEL FT RICO SINGO


Hii ni ngoma mpyaa kutoka ZANZIBAR, TANZANIA.Huyu ni Msanii ajulikanae kwa jina la king Abely akiwa na Mkali wa hip hop ZANZIBAR Rico Single Hii ngoma inaitwa MTAA KWA MTAA imetengenezwa katika studio za JUPITER REC ZANZIBAR pamoja na JUPITER VIDEO'S ZANZIBAR

UCHAGUZI WA ZANZIBAR 2010

Sunday, September 5, 2010

I SAY JAMANI HII VIDEO MWENZENU NAKUMBUKA MBALI SANA



Helo ambae unaangalia hii clip . Niambie unakumbuka nini kwenye hii clip? na umejifunza nini? miaka kazaa nyuma iliyipita . Daaa? I say?

Monday, August 23, 2010

BALOZI WA WAREKANI TZ NDANI YA MJENGO WA ZENJIFM LEO


Balozi wa marekani Alfonso E. Lenherdt’s leo alipata nafasi ya kufika ndani ya mjengo wa Zenjifm na kufanya kipindi maalum . Lengo hasa la kuja Zenjifm ni Kufuatia kauli ya Rais Obama ya Kuipongeza Tanzania , Nae balozi wa marekani Bwana Alfonso ameamua kusisitiza kile alichosema Rais Obama na alipata nafasi ya kufanya mahojiano maalum na Zenj fm Radio ambapo kwanza amewapongeza wananchi wa Zanzibar kwa ujasiri wao wa kupiga kura ya ndio na kusema kuwa siasa za uhasama na chuki zimkufa na kwa sasa wananchi wanachotakiwa kufanya ni kushikamana katika kujenga Zanzibar mpya yenye matumaini kwa vizazi vijavyo.
Katika mazungumzo yake Balozi Alfonso amesema kuwa kura ya maoni itarsaidia sana kudumuisha uhusiano wa muda mrefu uliopo baina ya Marekani na Zanzibar

Sunday, August 22, 2010

LEO KWENYE FACEBOOK YA BENJAMINI WA MAMBO JAMBOS


Mchizi leo ameandika hivi I want to release two songs kwa wakati mmoja one on the radio and one Radio Wot do you think guys?Good news One song produced by Miikka Mwamba and One by Myself. Raaaah!

DORIKA ASEMA ( LEO NAACHIA NGOMA YANGU MPYAA )


DORIKA
Wapenzi wangu leo naachia ngoma yangu mpya.. Ngoma hii nimefanya na kaka moja ambae ni producer wa studio flan.. Unataka kumjua ni nani? unataka kujua mara hii nimetoka vipi? Unataka kujua inaitwaje? usikose kusikiliza Bongo brain leo Juma tatu usiku na Dj side ndani ya Zenjifm Usiku kuanzia saa 3 hadi 5. Naomba maoni yenu mtakapo isikia hiyo ngoma . nimeachia hii kwa ajili ya skukuu ambayo bado siku kadhaa tu. so kaeni mkao wa kula na kitu kipyaa. ni hayo tu !!

LIOYD BANKS AIPA SHAVU TANZANIA


Katika hili pini jipya la mchizi "Any Girl", Lloyd Banks wa G-Unit ameipa shavu nchi yetu Tanzania baada ya kuitaja katika lyrics za ngoma hii , Mchizi anasema "I don’t mind a petty stare, I don’t need a favor, Baby I’m a millionaire, Got a show hoppin outta’ the leer in Tanzania". .. Angalia video chini hapo ujionee..

AVATAR EXCLUSIVE -BEHIND THE SCENES


Aaa jamni hapa tena basi ...the whole thing they used into making this film is amazing, and it shows so much more opportunities in the industry, I mean a whole movie can be done by stunts alone and actors won't have to have their good looks, while we will still be getting an extraordinary end-product. The reality and liveliness of the moves combined with the greatness of the CGI opens up a whole new dimension to the sci-fi/fantasy gender especially, but not only, already looking forwards for Avatar2

Check out Avatar Exclusive -Behind The Scenes


Friday, August 20, 2010

FAN KISS HUU NDO MUDA WAKE WA KULA BATA


Mchizi hii ndo ngoma yake ya kwanza ngoma imetengenezawa pale Jupiter record na Aron name. Katika ngoma hii mchizi amefanya na Baby J ambae ameitendea haki ngoma hii. Juzi nilikuwa studio Jupiter nilikuwa nasikiliza ngoma mpyaa . Pia nilipata kusikiliza ngoma mpya ya Rico singo akiwa na Ay hii ngoma ntaizungumza j4 bt kubwa ni juu ya huyu kijana Fan kiss . I say? amefanya bonge moja la ngoma kuliko hii .Ngoma bado haijapewa jina amefanya na Producer aron. I say ngoma kali sana. Itabamba tuu kuliko hii. Stay tune ntaweka sample hapa uisikie soon tu

FAN KISS KWENY VIDEO TAKE YOU DOWN FT BABY J

FAN KISS AJA KWA VISHINDOW

Wednesday, August 18, 2010

NAZILA - BERRY BALCK NEW VIDEO

BERRY BLACK AACHIA VIDEO MPYAA NA MWANA DADA DORICA



Katika hali isio ya kueleweka hatimae berry ameachia video mpyaa inayokwenda kwa jina la Nazila ngoma ambayo amefanya na A T msanii ambae ilikuwa ikisemekana eti wana bifuu ya mdaa mrefu pia akiwa na mwana dada dorica . kama unavyoona hapo juu berry akiwa na A T.... kama unakumbuka kulikuwa na bifu kubwa sana wakati A T alipotimuliwa kutoka kwenye lebo ya Teddy Record . na ikasemekana kuwa wawili hawa ilikuwa haziwivi chungu kimoja. kiasi ikafika hadi kuimbana. Leo tunaona wapo kwenye ngoma moja

Berry akiwa na A T kwenye video yake mpyaa ya Nazira

Mwana dada Dorica akiwa kwenye poz ya camera kwenye video ya Nazira.

Berry akiwa na ma stars kutoka znz kwenye video yake pyaa

Video hii ya Berry imefanywa na Adam juma wa Visual Lab -- Na ngoma hii imefanya na Aron name kutoka pale jupiter record

Sunday, August 15, 2010

RAMBO AJA NA MOVIE MPAYAA THE EXPENDEBALE


Daaa? Jamani Rambo kakusuduia nini hasaa kwenye Hii movie yake mpyaa? Yaani katafuta mastaa watupu .Mtu kama Chwarzenegger? Jet li? Steve Austin? Mickey Rourke na Jason Statham. Yaani ni balaaa. Hapa kasoro Van dame tu amabe pia alipigis sim awemo kwenye hii movie bt mchizi akatole njee. Hii movie Itauza mbayaaaa. Inaitwa The Expendeble. Wiki ndio Imetoka . Yaani ni noma Angalia Trailer yake hapo

Wednesday, August 11, 2010

BIKIDUDE AFUNIKA MBAYA KWENYE VUNJAJUNGU PARTY NA FLAVA DJS


Hapa Bi Kidude anashuka ndani ya gari kutoka Town akiwa na wadau wa Zenj fm Radio na Fleva Djs,kutoka kushoto kwa Bikidude ni mtu mzima Dj Side, kulia ni mwanadada Emy c na nyuma kabisa ni Dj Sam



Pozi la nguvu la Bi kIdude akionesha kuwa na yeye wamo katika mambo ya pozi za picha aliyemuegemea ni Emy C na nyuma hapo ni Aziza Wazir aka Azwii



Nani anasema Bikidude hana nguvu? hapo alikuwa akishuka ngazi kuelekea katika ufukwe wa Kendwa Rocks Hotel ambapo alifanya makamuzi ya ukweli.Pichani hapo kama unavyoona Dj Side alikuwa akiburuzwa


Wameshamaliza ngazi hapo, Bikidude hapo ni mwendo wa kijeshi hataki mchezo katika kazi


Mwendo mdundo kudadadeki



Hawa ni wachina ambao walimpokea vizuri Bi Kidude na kwa mujibu wa maelezo ya Bi Kidude alisema kuwa hao ni wazee wake, sijui alikuwa akimaanisha nini maana hapo kwa mtazamo tuu anaonekana yeye ana umri mkubwa zaidi ya hao aliodai ni wazee wake!!!



Kundi zima la Unyango Band likisubiri kufanya makamuzi katika msosi kabla ya kufanya mambo ya ukweli ukweli katika stage.



Bi Kidude akiwa na wamiliki wa Hoteli ya Kendwa Rocks Mama Nuhu na Omar Kilupi



Jamani Emy c nae wamo katika mambo ya kubugi msondoo?? hapo akiwa na Bi Kidude wakioneshana kazi.


Wamiliki wa Kendwa Rocks na Kundi zima la Unyago Band wakibadilishana mawazo hapo kama unavyoona.



Nani kasema Bi Kidude hana nguvu? huwezi amini huyu Bibi ana nguvu sana kiasi ambacho wengi tulishangaa sana, ona jinsi alivyojifunga ngoma yake hiyo na huku anaitwanga kisawa sawa? kwa kweli huyu ni LEGENDARY OF MUSIC IN ZANZIBAR.



Vijana wa Unyago Band wakionesha vitu vyao hadharani.Mambo yalikuwa kiunyago unyago tuu yaani ni full kufundwa zaidi!!



Hatimaye Bi Kidude alijipatia Handsome wake na kuanza kumfunda kiunyago zaidi.



Non stop music jamani Bi Kidude akiwa kazini hataki masihara kabisa ona jinsi alivyo seriuos na kazi yake amejifunga msondo wake akiendelea na makamuzii!!


Jamani shughuli ni kuchakarika eeehh?? Unyago Band wakichakarika katika kutoa ile kitu roho inapenda kwa mashabiki waliohudhuria katika show hiyo!!Haya na radhi ama kwa hakika zilimwagwa si unaona jamaniii???!!