Tuesday, September 6, 2011

MZEE YUSSUF ATAPELI EUROPE


SOMAAA HIII EMAIL NILIOTUMIWA LEO

Mambo vipi side? ss kuna hii habari moja kuhusu uyo mzee yussuf alikua afanye show europe kuanzia tareh 02/09 holland, tareh 03/09 greece, tareh 04/09 germany, uyo jamaa ni tapeli kumbe sana kawatia watu hasara zaid ya euro elf 12,000 kwakua maandalizi yalikua makubwa katika nchi zote ambazo alikua afanye ziara zake,kwa mji wa holland ticket zote tayari zilikua zimeshauzwa na kumalizika kabisa kitu ambacho kilifanya wafadhili wake watoe tena copy za nyongeza kwakua ulikua ni usiku special wa muafrica na raia tofauti walikua wahudhurie show hiyo, hapa greece halikadhalika ilikua hivo pamoja na gharama za kulipia ukumbi, machapisho ya matangazo na uuzwaji wa ticket pia hadi dakika za mwisho mdhamini mkuu wa hapa ugiriki bw. shamir ambae alikua akiongea nae kwa njia ya simu alimuhakikishia kuwa atawasili ugiriki siku ya jumamosi tare 03/09 saa 10 jioni, kitu kilichowafanya kutawanya matangazo kwa watu wote hadi dakika za mwisho wananchi walikua wameshafanya shopping za nguvu kwaajili ya kumpokea mfalme huyo, matokezeo yake patupu simu zake hapoke hela ameshakula kitu kilichosabaisha kufumka zogo kwa wananchi wenye hasira natayari walishalipa pesa kwaajili ya show hiyo pia kuwapa lawama waandalizi wa show hiyo kuonekana ni matapeli,kwakweli ilibidi watu wengine kulia kwa uchungu na hasa kina mama zaid walipata hasara kujitaarisha na show hiyo,kitu ambacho kimemjengea sifa mbaya kwa europe nzima sasahivi hakuna hta nafasi moja atakayoipata tena ya kufanya show hapa europe hii habari side irushe ili watu waone tabia hizo za wasanii wetu kujipotezea umaarufu na ile heshima yao.

Thursday, August 11, 2011

JAHAZI LITERARY $ JAZZZ FESTIVAL FOR THE FIRST TIME TO HIT ZNZ ON 2 SEPT





Latest news on the Zanzibar grapevine is that a new festival is about to hit town.

In September, the 'Jahazi Literary & Jazz Festival' - a first of its kind in Zanzibar ,will bring you jazz concerts; music and writing workshops; art exhibitions; talks on Zanzibar's history, Sinbad the Sailor and mythical creatures of Africa; private dinners; open mike music jamming sessions - all geared up to inspire you.

Prepare to be entertained by musicians and writers that will fill the air with the sweet sounds of jazz and talk of to you about literary delights.

Read on to find out about who is coming to entertain you…


NEWS
President to launch festival

President Ali Mohamed Shein is launching Zanzibar’s first international literary and jazz festival at the Old Fort, Stone Town, at 7pm on Friday 2 September. The President said: “I believe this festival will raise awareness on the importance of people’s culture, democracy, respect for human rights and better management of Africa’s resources.”

More news.....

Lord Malloch Brown , Former United Nations Deputy Secretary-General, will be jointly launching the Jahazi Literary & Jazz Festival with the President . He said: “Literature and music are powerful educators and I hope the people of Zanzibar will embrace this remarkable festival.”


A TASTER OF WHO'S COMING

Mim Suleiman: With no musical background whatsoever, Mim Suleiman left her job teaching metallurgical at The University of Birmingham to pursue her passion. She has been described as a fiery singer who never fails to indulge her audience!

She said :"I am very proud to be a part of the Jahazi festival. I am so looking forward to be performing in Zanzibar and to see all those amazing smiley faces again. It brings a great comfort to know that I can touch their souls...They always touch mine"

Tim Severin : 'The invitation to take part in the Jahazi Festival arrives even as I embark on researching my next historical novel: a story to bring my reader to the fabled Arab 'Land of Zanj' in the days of Haroun al Rashid the Caliph of Baghdad. What a brilliant opportunity for me to sample the setting and indulge my passion for the exotic.'

Moussa Diallo: Is a bass player, singer and composer born in Paris, France. The oldest son of a Danish mother and a Malian father brought up in Bamako, Mali and currently residing in Copenhagen, Denmark. Since 1998 Moussa has concentrated on performing and recording his own compositions with a stronger focus on the African sounds.

Al Campos: Born and raised in Los Angeles CA. Current resident of Copenhagen, Denmark & Los Angeles. Al Campos is a singer, trombone player, songwriter, producer and arranger.

Tishani Doshi: Is a writer and dancer of Welsh-Gujarati origin. Her first book of poems Countries of the Body won the Forward Poetry Prize for Best First Collection in 2006. Since 2001 she has worked as a contemporary dancer with the Chandralekha Group in Madras

EVENT

"Africa in the world and the world in Africa": Lord Malloch Brown's book "Globalisation, an unfinished revoloution" provides the basis for this session.

"Every Secret Thing": A passionate witness to the colossal upheaval that has transformed her native South Africa, Gillian Slovo's memoir is far more than the story of her own life.

"Dr.Livingstone I presume?" Robert Mccrum talks about Africa's most famous explorer, with special reference to his stays in Zanzibar. "This is the finest place I have known in all of Africa. An elusive place where nothing is as it seems. I am mesmerized." David Livingstone 1865

Please contact us if you are interested in holding a fringe event! The Old Fort will host the fringe events. Entry to the Old Fort is free. So far we have people from the local community that are interested in holding poetry sessions, a children’s reading tent, story telling, food & drink stalls.Deadline for applications for fringe events is 10 August.


Wednesday, July 27, 2011

30 - 7 - 2011 VUNJA JUNGU AT KENDWA ROCKS .THE BIGGEST SUMMER BASH.

ITS VUNJA JUNGU AT KENDWA ROCKS .THE BIGGEST SUMMER BASH.PRESENTING NEW BEACH BAR ZIGZAG BAR. CHEAP COCKTAILS ALL NIGHT. LIVE PERFORMANCE.NEVER MISS 30 - 7 - 2011

ITS VUNJA JUNGU AT KENDWA ROCKS .THE BIGGEST SUMMER BASH.PRESENTING NEW BEACH BAR ZIGZAG BAR. CHEAP COCKTAILS ALL NIGHT. LIVE PERFORMANCE.NEVER MISS 30 - 7 - 2011

Thursday, June 23, 2011

SHAGGY NGOME KONGWE KESHO 24/6/2011


Hatimae kiingilia kwenye show ya shagy chapanda ... sasa ni alf15 kwa raia na dola 20 kwa asiekuwa raia . show ni kesho tarehe 24 ngome kongwe . na Jpili itakuwa after party ya ziff kendwa rock... Dj side on the one n 2 Mwanzo mwisho

NGOZI YA CHURA KUTIBU SARATANI


Wataalamu kutoka Chuo Kikuu cha Belfast wamejishindia tuzo kwa kazi waliyoifanya kuhusiana na ngozi ya chura ambayo wamegundua inaweza kutibu zaidi ya maradhi makuu 70.ikiwemo saratani ya ngozi

MANAGER WA THE GAME MATATANI


Maneger wa THE GAME Rosemond anaaminika kuwa ni kiongozi wa usambazi wa cocaine na anatuhumiwa kusafirisha mamia ya kilo za cocaine toka Los Angeles kwenda New York kupitia FedEx na UPS tangu mwaka 2008,na wiki iliyopita aliyekuwa mshirika wake Dexter Isaac alifunguka kuwa rap manager na business man huyo alimlipa dola 2,500 ili amwibie Tupac Shakur pande za NY’s Quad Studios mwaka 1994,ambapo 2 Pac alipigwa risasi 5 na kuanza vita na The Notorious B.I.G wakati alikua hahusiki kulikosababisha uhasama kati yao pia Resmond inaaminika kuwa mwaka 2009 alifadhili mauaji ya mshirika wa G-Unit,Lowell Fletcher ROSEMOND SASA AMEKAMATWA NA POLISI

JAY Z NA WILL SMITH KWENYE MEN IN BLACK 3


Mkali Jigaa.. Jay z hapa anaonekana akiwa na mkali Will Smith kwenye production na upigaji picha wa movie yake mpya ya Men In Black III pande za New York's Battery Park... Inaonekana kama jigaa huwenda akatokea kwenye hii movie....

RICK ROSS NA TATOO MPYA


Rick Ross ameweka tatoo mpya usoni aka Face tatoo Face tatoo ya Rick Ross upande wa shavu la kushoto imeandikwa Cazal

Tuesday, June 14, 2011

FULL MOON PARTY

FULL MOON PARTY 18/6/2011


Jmosi ijayo itakuwa tarehe 18 ndio full moon party kendwa rock..kaskazini ya Zanzibar (Nugwi ) Usikosee..kushuhudia wacheza sarakasi wala moto ngoma za kiasili na burudan mbali mbali . vinywaji na vyakula mbali mbali katika ufukwe wa bahari Kutabigwa disco ngoma za aina zote usiku wakucha Dj side katika moja na 2 mwanzo mwosho.... Karibu

USHER RAYMOND NA KERI HILSON KUKAMUA KENYAA


Usher Raymond na Keri Hilson watadondoka jijini Nairobi-Kenya kupiga show na mshindi wa Season mpya ya Tusker Project Fame iliyobatizwa jina la Tusker All Stars-2011,kwenye viwanja vya Carnivore tarehe 20 August,2011

DROGBA AFUNGA NDOAA UFARANSA


Star wa Chelsea na Ivory Coast,Didier Drogba amefunga ndoa na longtime sweetheart na mama wa watoto wake 3,Lalla Diakite pande za Marie De monaco nchini Ufaransa

FULL MOON PARTY 18/6/2011


Full moon party saturday 18/6/2011 northan of Zanzibar Kendwa rock hotel ..B.B.Q on the beach .Traditional ngoma and acrobatic show.. Selected coctail all night... Delicious barbeque menu. Sushi and Pizza ..Music all around the World Dj side in the House

SHAGGY LIVE IN ZANZIBAR 24/6/2011


The Jamaican-American reggae singer and rapper, famous for international hits such as “It Wasn’t Me” and “Hot Shot”, will get Zanzibar up and dancing with an amazing one-off concert. The biggest selling dancehall artist ever, this is Shaggy’s first visit to Zanzibar and promises to be one of the major highlights of ZIFF 2011.

Ticket Price:
Shaggy at The Old Fort : Tsh 5000 local $10 Foreigner visitors
Doors Open: 6pm, 24th June

SHAGGY KUKAMUA IJUMAA 24/6/2011 ZANZIBAR


Hatimae Shaggy kukamua siku ya ijumaa ya tarehe 24 nwezi huu katika ukumbi wa ngome kongwe mambo club. kiingilio ni sh/ 5000 kwa mtanzania na dola 10 kwa wageni.. milango itakua wazi kuanzina 12 jion show haitakuwa tena uwanja wa amani na sasa itakuwa pale pale ngome kongwee idadi ya watu watakao ruhusika kuingia ni watu 4,000 tu

KANYE WEST AMPA LEBO D'BANJ....GOOD MUSIC


D'Banj artist toka Nigeria,amepata deal toka kwa Rapper Kanye West baada ya Kanye kum-sign kwenye lebo yake ya Good Music D'Banj ataungana na Artist wakubwa kama Common,John Legend,Kid Cudi,Pusha T na Mos Def ambao wako chini ya label ya Good Music

Sunday, May 29, 2011

EVE ALBUM YAKE KUTOKA MWAKA HUU


Mkali EVE yupo katika hatua za mwisho kukamilisha album yake baada ya ukimya takriba miaka 9 Album inaitwa 'Lip Lock',aliyoianza tokea 2007 .Album ya mwisho ya Eve ilikuwa inaitwa 'Eve-Olution
Akizunguma katika sherehe za Gumball 3000 Rally mjini London, Eve amesema emshakamisha album hiyo na mwishoni mwa mwaka huu itakuwa sokoni

LIONEL MESSI NI NOMAAA


Lionel Messi
Amechaguliwa na shirika la soka la dunia FIFA's kuwa ndie mchezaji bora wa dunia kwa mara ya pili mfululizo
Alikuwa na medali mbiliza za ushindi wa European Champions League Na sasa amechukua tena ya tatu jana baada ya jana Barcelona ku ichapa Manchester United 3/1
Lionel Messi,hadi sasa ana umri wa mika 23 tu Mchizi anatokea Argentina,

NATO KUISHAMBULIA NYUMBA YA GADAFI


NATO imeshambulia nyumba ya Gaddafi
NATO inasema kuwa imeangamiza ukuta mkubwaa na minara ya walinzi katika eneo la nyumba ya Kanali Gaddafi wa Libya mjini Tripoli, kwa mashambulio mawili yaliyofanywa na ndege za umoja huo wa kijesh

KOCHA UHARO


KOCHA UHARO Wa Man United Ferguson amekiri kumsajili kipa David de Gea wa Atletico Madrid

Birmingham yafuta safari ya Tanzania


Birmingham yafuta safari ya Tanzania
msimu huu walikuwa wasafiri waje Tanzania kupambana na Simba na Yanga katika mechi za kirafik..Hafla wamehairi.. Mabingwa hao wa kombe la Carling sasa wanatafuta nchi ya kwenda kucheza mechi za za kalba ya kuanza kwa msimu

Friday, May 27, 2011

MPANGO MZIMA NDANI YA DUNGA



PANDE ZA DUNGA MPO TAYARI?
bonge la party litafanyika siku ya Ijumaa tarehe 3. mwez wa 6 pande za dunga jumba la mawe .Ntakuwepo mimi Dj side kwenye one n 2 .. wasanii wakali kukamua kama Rico singo, Juma 20, Baby J. na Dorica kiingilio ni alf 3000 tu mida ya mbili usiku mpaka majogoo Usikose

BEACH PARTY


Party pple get ready 4th beach party ever! Dj side will rock u til late! Nnstop beat music all around the world.. Its saturday 9te 28th the roof is on fire! Dont miss it in Deman lorge hakuna kulala eastn znz road to Paje.. Entrc Free..00

Thursday, May 26, 2011

BERRY BLACK KUANZA UK TOURS


BERRY BLACK LEO KUELEKEA UK
Mkali wa znz berry leo mida hii ya saa 10 anatarajiwa kuchukua pipa kuelekea UK kwa ajili ya Tour yake.... safi kaka wakilisha znz

HUSSEN MACHOZI HODIIIIII HADI MOMBASA KENYA


HUSSEN MACHOZI KUMTOA NA MTOTO WA MOMBASA
Hussein Machozi amefanya kazi na msani kutoka Mombasa kwenye track mpya iitwayo Nishaoa soon ngoma itakuwa kitaaa

KEYSHA COLE APATA MUME


KEYSHIA COLE HATIMAE KUOLEWA
R & B Artist Keyshia Michelle Cole over the weekend amefunga ndoa pande za Cleveland-Ohio na Danie “Boogie” Gibson,mchezaji wa BasketBall wa timu ya Cleveland Cavaliers inayocheza ligi ya NBA ya Marekani

MR BLUE SOON KUJA NA TILATILA


Mr Blue Na kitu kipyaa
Mr Blue aka Bayser,sasa ameingia studio na sasa yuko mbioni kutoa ngoma itakayozungumzia mambo ya party au bata za mwisho wa wiki
Track hiyo itaitwa 'Tilalilah'

NIKI MINAJ MPANGO MZIMA


Nicki Minaj ametajwa na kuvikwa taji la Queen of Hip-Hop na jarida la Rolling Stone aka Rolling Stone magazine

P SQUARE KUTOKA NA ALBUM MPYAAA SOON


Square wamewachukua dancers 12 (6 wa kiume na 6 wa kike) walipofanya mchakato wa kuwatafuta dancers watakaoshirikiana nao kwenye maandalizi ya album yao ya 5 na kwa sasa wako kwenye mazoezi kwa muda wa miezi 3 sasa na album yao inatarajiwa kuwa na kati ya track 10 na 13,zikiwemo za Bunieya na Forever amb...azo zitakua kitaani soon kwa fans wao
Square wamewachukua dancers 12 (6 wa kiume na 6 wa kike) walipofanya mchakato wa kuwatafuta dancers watakaoshirikiana nao kwenye maandalizi ya album yao ya 5 na kwa sasa wako kwenye mazoezi kwa muda wa miezi 3 sasa na album yao inatarajiwa kuwa na kati ya track 10 na 13,zikiwemo za Bunieya na Forever ambazo zitakua kitaani soon kwa fans wao

Tuesday, May 24, 2011

TUZO ZA BILLBOARD JUZI NI NOMAAA!!


TOP ARTIST

JUSTIN BIEBER EMINEM LADY GAGA RIHANNA TAYLOR SWIFT *WINNER

TOP NEW ARTIST

JUSTIN BIEBER * WINNER TAIO CRUZ KE$HA BRUNO MARS NICKI MINAJ

TOP MALE ARTIST

JUSTIN BIEBER DRAKE EMINEM *WINNER BRUNO MARS USHER

TOP FEMALE ARTIST

KE$HA LADY GAGA KATY PERRY RIHANNA *WINNER TAYLOR SWIFT

TOP DUO/GROUP

THE BLACK EYED PEAS *WINNER BON JOVI LADY ANTEBELLUM LINKIN PARK U2

TOP BILLBOARD 200 ARTIST

JUSTIN BIEBER SUSAN BOYLE EMINEM LADY ANTEBELLUM TAYLOR SWIFT *WINNER

TOP HOT 100 ARTIST

KE$HA BRUNO MARS KATY PERRY *WINNER RIHANNA USHER

TOP RADIO SONGS ARTIST

DRAKE BRUNO MARS KATY PERRY RIHANNA *WINNER USHER

TOP POP ARTIST

JUSTIN BIEBER *WINNER THE BLACK EYED PEAS KE$HA LADY GAGA KATY PERRY

TOP R&B ARTIST

ALICIA KEYS MONICA RIHANNA TREY SONGZ USHER *WINNER

TOP RAP ARTIST

DRAKE EMINEM *WINNER LIL WAYNE LUDACRIS NICKI MINAJ

TOP COUNTRY ARTIST

JASON ALDEAN KENNY CHESNEY LADY ANTEBELLUM TAYLOR SWIFT *WINNER ZAC BROWN BAND

TOP ROCK ARTIST

KINGS OF LEON LINKIN PARK MUMFORD & SONS MUSE TRAIN *WINNER

TOP LATIN ARTIST

ENRIQUE IGLESIAS PITBULL PRINCE ROYCE SHAKIRA *WINNER WISIN & YANDEL

TOP DANCE ARTIST

THE BLACK EYED PEAS DAVID GUETTA LADY GAGA *WINNER LAROUX RIHANNA

FAN FAVORITE OF THE YEAR

JUSTIN BIEBER *WINNER

ALBUMS AWARDS

TOP BILLBOARD 200 ALBUM

JUSTIN BIEBER — “MY WORLD 2.0″ SUSAN BOYLE — “THE GIFT” EMINEM — RECOVERY* WINNER LADY ANTEBELLUM — “NEED YOU NOW” TAYLOR SWIFT — “SPEAK NOW”

TOP POP ALBUM

JUSTIN BIEBER — MY WORLD 2.0 *WINNER BLACK EYED PEAS — “THE E.N.D.” KE$HA — “ANIMAL” LADY GAGA — “THE FAME” KATY PERRY — “TEENAGE DREAM” *WINNER

TOP R&B ALBUM

MONICA — “STILL STANDING” RIHANNA — “LOUD” SADE — “STRONGER THAN LOVE” TREY SONGZ — “PASSION, PAIN & PLEASURE” USHER — “RAYMOND V. RAYMOND” *WINNER

TOP RAP ALBUM

DRAKE — “THANK ME LATER” EMINEM — RECOVERY *WINNER NICKI MINAJ — “PINK FRIDAY” LIL WAYNE — “I AM NOT A HUMAN BEING” KANYE WEST — “MY BEAUTIFUL DARK TWISTED FANTASY”

TOP COUNTRY ALBUM

JASON ALDEAN — “MY KINDA PARTY” LADY ANTEBELLUM — “NEED YOU NOW” SUGARLAND — “THE INCREDIBLE MACHINE” TAYLOR SWIFT — SPEAK NOW *WINNER ZAC BROWN BAND — “THE FOUNDATION”

TOP ROCK ALBUM

THE BLACK KEYS — “BROTHERS” JACK JOHNSON — “TO THE SEA” KID ROCK — “BORN FREE” LINKIN PARK — “A THOUSAND SUNS” MUMFORD & SONS — “SIGH NO MORE” *WINNER

TOP LATIN ALBUM

MARC ANTHONY — “ICONOS” CAMILA — “DEJARTE DE AMAR” ENRIQUE IGLESIAS — EUPHORIA *WINNER PRINCE ROYCE — “PRINCE ROYCE” SHAKIRA — “SALE EL SOL”

TOP DANCE/ELECTRONIC ALBUM

DAFT PUNK — “TRON LEGACY (SOUNDTRACK)” LADY GAGA — “THE FAME” *WINNER LADY GAGA — “THE FAME MONSTER” LADY GAGA — “THE REMIX” OWL CITY — “OCEAN EYES”

TOP HOT 100 SONG

TAIO CRUZ — DYNAMITE *WINNER EMINEM FEAT. RIHANNA — “LOVE THE WAY YOU LIE” BRUNO MARS — “JUST THE WAY YOU ARE” KATY PERRY FEAT. SNOOP DOGG — “CALIFORNIA GURLS” USHER FEAT. WILL.I.AM — “OMG”

TOP DIGITAL SONG B.O.B FEAT. HAYLEY WILLIAMS — “AIRPLANES” TAIO CRUZ — DYNAMITE *WINNER EMINEM FEAT. RIHANNA — “LOVE THE WAY YOU LIE” BRUNO MARS — “JUST THE WAY YOU ARE” KATY PERRY FEAT. SNOOP DOGG — “CALIFORNIA GURLS”

TOP RADIO SONG

TAIO CRUZ — “DYNAMITE” EMINEM FEAT. RIHANNA — “LOVE THE WAY YOU LIE” BRUNO MARS — JUST THE WAY YOU ARE *WINNER USHER FEATURING PITBULL — “DJ GOT US FALLIN’ IN LOVE” USHER FEAT. WILL.I.AM — “OMG”

TOP STREAMING SONG (AUDIO)

TAIO CRUZ — “DYNAMITE” EMINEM FEAT. RIHANNA — “LOVE THE WAY YOU LIE” LADY ANTEBELLUM — “NEED YOU NOW” BRUNO MARS — “JUST THE WAY YOU ARE” NELLY — JUST A DREAM *WINNER

TOP STREAMING SONG (VIDEO)

JUSTIN BIEBER FEAT. LUDACRIS — BABY *WINNER EMINEM — “NOT AFRAID” EMINEM FEAT. RIHANNA — “LOVE THE WAY YOU LIE” LADY GAGA — “BAD ROMANCE” SHAKIRA FEAT. FRESHLEYGROUND — “WAKA WAKA (THIS TIME FOR AFRICA)”

TOP POP SONG

TAIO CRUZ — “DYNAMITE” *** WINNER ** BRUNO MARS — “JUST THE WAY YOU ARE” KATY PERRY FEAT. SNOOP DOGG — “CALIFORNIA GURLS” KATY PERRY — “FIREWORK” KATY PERRY — “TEENAGE DREAM”

TOP R&B SONG

ALICIA KEYS — “UNTHINKABLE (I’M READY)” RIHANNA FEATURING DRAKE — “WHAT’S MY NAME” TREY SONGZ FEAT. NICKI MINAJ — “BOTTOMS UP” USHER FEAT. WILL.I.AM — OMG *WINNER USHER — “THERE GOES MY BABY”

TOP RAP SONG

B.O.B FEAT. HAYLEY WILLIAMS — “AIRPLANES” B.O.B FEAT. BRUNO MARS — “NOTHIN’ ON YOU” EMINEM FEAT. RIHANNA — LOVE THE WAY YOU LIE *WINNER FAR*EAST MOVEMENT FEAT. DEV & THE CATARACS — “LIKE A G6 NELLY — “JUST A DREAM”

Friday, May 6, 2011

SHAGGY KUTIMBA ZANZIBAR 18 JUNE 2011


SHAGGY ANATARAJIWA KUJA ZANZIBAR KATI YA 18-26 June 2011 KATIKA TAMASHA LA ZIFF .. WADAU WA MCHIZI MPO TAYARI KWA SHOW KALI YA DANCE HALL NA MKALI SHAGGY? MPANGO MZIMA NDANI YA ZANZIBAR KATIKA TAMASHA LA ZIFF

KISIMA MUSIC AWARD 2011


Tuzo za 9 za Kisima toka Kenya aka Kisima Music Awards – 2011 zimezinduliwa jijini Nairobi-Kenya
Kisima Music Awards ni tuzo zinazoandaliwa nchini Kenya kwa ajili ya kuwatuza wasanii waliofanya vizuri kwa ukanda wa afrika mashariki na tuzo hizo zitafanyika kwenye ukumbi wa KICC,tarehe 30 September 2011

Wednesday, May 4, 2011

SHAA - CRAYZ

TMK KUJA NA MOVIE YA PAMOJA


Makundi mawili yaliyohasiana ya miondoko ya kizazi kipya toka pande za Temeke,TMK Wanaume Family na TMK Wanaume Halisi wanatarajiwa kutoa movie la pamoja

Movie hilo linatarajiwa kuwaunganisha mahasimu hao,ambao awali walikuwa kundi moja na kufanya kazi kadhaa wakiongozwa na Meneja wao Said Fella ambaye kwa sasa anasimamia kundi la TMK Wanaume Family

Kwa sasa Maandalizi ya filamu hiyo yanaendelea ambapo wanakamilisha hatua ya kuandaa mwongozo utakaochukua wiki mbili hadi kukamilika kwake,na lengo la kuandaa filamu hiyo ni kuelezea historia ya wanamuziki wa kundi hilo,toka walikotoka katika safari yao ya muziki hadi walipofikia sasa

Wanamuziki wote wa makundi hayo watashiriki bila kubagua pia shughuli za kuunganisha miziki iliyokwisharekodiwa awali na studio hiyo inatengenezwa kwa ajili ya kuingizwa katika filamu hiyo kama soundtrack

YAJUE MAMBO 10 YA OSAM A BIN LADEN




1- Osama bin Mohammed bin Awad bin Laden aka Osama bin Laden alizaliwa tarehe 10 March,1957 Riyadh-Saudi Arabia,akiwa ni mtoto wa 17 kati watoto 57 kuzaliwa toka kwa baba yake Mohammad bin Laden,tajiri-bilionea na mama yake Hamida Al-Attas anayetokea Syria alikua ni mke wa 10 kwa baba yake!

2 - Baba yake Mohammed bin Laden alifariki kwenye ajali ya ndege mwaka 1967,baada ya pilot wa kimarekani kufanya makosa wakati wa kutua na kumuachia Osama Bin Laden urithi wa dola milioni 80 akiwa tu na miaka 11

3 - Osama Bin Laden alikua ni muanzilishi na kiongozi wa kundi la Al-Qaeda mwezi August 1988 - 1989na alisomea Economics na business Administration kwenye Chuo cha King Abdulaziz na inasemekana kuwa alipata degree ya Civil Engineering in 1979,au degree ya Public Administration mwaka 1981!

4 - Kuanzia mwaka 2002 Osama bin Laden alioa wake 4 na anakadiriwa kuwa na watoto 25 mpaka 26!

5 - Jeshi la Marekani lilimtafuta osama Bin Laden kwa miaka 10,lakini kikosi cha watu 20–25 toka US Navy Seals aka Seal Team Six lililoitwa 'Geromino' liliwachukua dakika 40 tu kabla ya kumuua kwa kumpiga risasi kichwani na kifuani!

6 - Wakati wanajeshi wa Marekani wanavamia nyumbani kwa Osama,Rais Barack Obama alikua anaangalia live kupitia real time video,mishe mishe zote za kuuwawa kwake!

7- Nyumba aliyokua anakaa pande za Abbottabad ilikua ina thamani ya dola milioni 1 za kimarekani,lakini eneo lililokuepo ilikua ni nyumba mbaya kati ya 40 zilizokuepo pande hizo,usioitegemea kama inaweza ikawa makazi ya mtu,isiyokua na mawasiliano ya simu wala internet!

8 - Majirani zake pande za Abbottabadd walikua hawajui kuwa Osama alikua anaishi eneo hilo coz nyumbani kwake kulikua kumetulia sana,na baada ya kuona kuwa kusikia milio ya risasi,waliamua kuwasha TV na kushangaa kuona Rais Obama akitangaza kuwa Osama ameuliwa eneo lao wanaloishi!

9 - Baada ya kutangazwa kuwa ameuwawa,mtandao wa twetter uliweka historia,Jumapili ya tarehe 01 May,2011 kwa kupata tweeter sms 3,440 kwa sekunde!

10 - Baada ya kutangaza kuwa ameuwawa Rais Obama aliandaa dinner na alipewa 'standing ovation' (wakati anaingia watu walikua wameshakaa na wakasimama na kumshangilia kwa kumpigia makofi) kwenye ikulu ya White House na kuwapongeza mashujaa waliomuua Osama Bin Laden!

Wednesday, April 27, 2011

FANS WA SEAN KINGSTON ZIMBABWE..WAMTOA NISHAI!


Artist toka Jamaica,Sean Kingston alikua nchini Zimbabwe kupiga showz kibao wakati wa sikukuu za Pasaka

Lakini baada ya kumaliza showz zake ilidaiwa kuwa alitupia kwenye mitandao ya Tweeter na Facebook account zake kuwa alitupa hela kwa fans wake wakati anapiga showz zake hizo 2 nchini Zimbabwe na kusababisha fans wake kusema sio kweli kuwa aliwatupia hela,na kwa sasa wanamuona Sean Kingston kama si mfano mzuri!

KANUMBA NA RAMSEY NOAH....WAJA NA MOVIE!


ACTORS RAMSEY NOAH (NIGERIA) NA STEVEN KANUMBA (TZ)

Mwigizaji filamu toka TZ,Steven Kanumba amefanya kazi kwa pamoja na mwigizaji maarufu toka nchini Nigeria Ramsey Noah iitwayo Devil's Kingdom

Pia humo ndani kuna kipaji kipya kabisa,Kajala na mwanamuziki toka FM Academia Patcho Mwamba na Devil's Kingdom itakua kitaani soon mwezi ujao

Tuesday, April 26, 2011

DULLY SYKES....KUISHITAKI KAMPUNI YA SIMU TZ?


Mkali toka pande za Ilala,Dully Sykes amefunguka kuwa huenda akaishitaki kampuni moja ya simu nchini Tanzania kwa kuuchukua wimbo wake mpya unaopata airtime ya kutosha kwa sasa Afrika Mashariki,Bongo Flava na kuutia kwenye caller tunes zao bila ridhaa yake! Dully alifunguka "Nashanga jamaa wa (jina kapuni) wameuchukua wimbo wangu bila ridhaa yangu na kuuweka kwenye caller tunes zao,na wakati wao wataingiza mkwanja mi sipati kitu,na mimi nimejisajili pamoja na track yangu kwa vyombo vinavyohusika kama ni mmiliki halali wa wimbo wa Bongo Flava,na yoyote atakayeutumia bila ridhaa yangu anavunja sheria"

Mwaka jana Atrist toka Kenya,DNA alitishia kuishitaki Benki ya KCB kwa kuchukua wimbo wake wa Banjuka na wao kuutumia kwenye promotion ya account kwenye TV na Radio na kuiita Bankika Tu!

Dj Side ..Its Me!!



Born 27 years ago with lots of talents, he is the one who admired the music the most in his life. That’s not another people we are talking about the best Dj in Zanzibar town, that’s Dj Side.

Said Abdalla Said is his real name grown up with five sisters and three brothers, Said’s fathers name is Abdalla who is originated from Oman and his mother is Raya who is also originated from Oman.

The name Dj Side is very famous in Zanzibar town area because of the efforts Side him self build.
Side started his professional life by taking a course to do the thing, which attracted him the most and became a Disc Jockey (DJ), then he became a radio presenter .Dj Side is said to be among the best on the Isles. His talents are acknowledged by the young and the old but, unfortunately, his close relatives frown at his rare natural gifts.

HAPPY BIRTHDAY.....TANZANIA!


Leo imetimia miaka 47 tangu Tanganyika na Zanzibar ziungane tarehe26 April 1964 na kuzaliwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,huku viongozi wa pande zote 2 enzi hizo Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliyekua Rais wa Tanzania Bara na Hayati Sheikh Abeid Amani Karume walipotia saini makubaliano ya kuungana

ESTER BEACH PARTY PIC


Picha za Kendwa Rocks | Easter Beach Party Juzi Utazipata hapa

http://www.fullbata.com/photo.album.php?evnt=29

Tuesday, April 12, 2011

FULL MOON PARTY 16/5/2011

FLEVA DJS MORE THAN DJS
Saturday 10:00pm at KENDWA ROCKS NORTH COST OF ZANZIBAR
ONCE AGAIN PARTY PEOPLEA! AS U KNOW EVERY MONTH WE HAVE FULL MOON PARTY IN ZANZIBAR. and this month is 16/4/2011 on saturday. come and have good time in paradise with new tune around the word with Dj mukada and Dj side on the 1 & 2
FLEVA DJS MORE THAN DJS

GIDDY FEAT GODZILA + YOUNG D "ONE MINUTE

FLEVA DJS MORE THAN DJS

FLEVA DJS MORE THAN DJS

SIR TINO "NISEME NISISEME

FLEVA DJS MORE THAN DJS

FLEVA DJS MORE THAN DJS

TMK WANAUME HALISI "SHUKRANI

FLEVA DJS MORE THAN DJS

FLEVA DJS MORE THAN DJS

SIDE BOY MNYAMWEZ "ACHA WASEME

FLEVA DJS MORE THAN DJS

FLEVA DJS MORE THAN DJS

Tuesday, March 1, 2011

HII NI KWA BLOGGERS WA ZANZIBAR


A journalist organization in Zanzibar WAHAMAZA would like to meet bLoggers based in Zanzibar...any one out there contact me djside_dj@yahoo.com

Ni muhimu sanaa tena sanaa

Saturday, February 12, 2011

HAVING FUN WIT SUPER STARS!!! LUNCH YA NGUVU!!


Mimi na Mustapha Asenal tukibadilishana mawazo huku tukiwa tunapata lunch kwa pamoja I say Jamaa anaongea mpaka basi Maana alikuwa akinichekesha mpaka daaar sikutarajia . Hapa tulikuwa kwenye Kasri la Mfalme Pale forodhan mida ya mchana mchana hivi

Hapa nikiwa na mzee wanga Mhamed Ilyas tukipata chakula cha mchana... Tulizungumza mambo mengi sana. Na nimejufunza vitu vingi kutoka kwa mzee wangu huyu. Kwa sasa Mhamed Ilyas kila siku ya Alhamis anapiga Piano pale Movenpic Dar. na kila jumapiki yupo serena Inn zaznibar

Thursday, February 10, 2011

SAUTI ZA BUSARA KUANZA RASMI JANA


Jana tamasha la busara lilianza rasmin .Kiufupi watu wilihudhuria ni wengi sana kulingansha na mwaka uliopita. Hapo juu ndo kama unavyona waandaaji wana busara wakiwa kwenye stage wakati waufunguzi wakijitambulisha kwa wadau walihudhuria tamasha hilo

Kitu kikubwa kilicho washangaza watu wengi ni kuhusuana na Wageni waliohudhuria kwenye tamasha hilo. Kwa mujib wa tasmini ya haraka haraka wageni walionekana ni wengi zaid kuliko wazawa wa hapa znz kitu ambacho baadhai ya wageni kutoka kenya na uganda kushaangaa na kusema heee. I say wazanzibar hata hawana habari na tamasha? sisi tumetoka kwetu wao hawana habari

Hii ndio team ya busara wakishangiliwa kwa fujo wakati wa ufunguzi wa Tamasha

Kikundi cha Jahazi mordan Taarab wao ndio walifunga show kwa siku ya jana. lakini Jahazi lilipanda stajini basi na mzee yussuf. Kitu ambacho kiliwashangaza wengi na kuhoji hali ya mzee yussuf. Kikweli mzee anaumwa na Mguu na amefanyiwa operation wa goti. kwa maana hiyo jana hakuweza Kuimba kwani bado pio pio bado halijatoka
Hata hivo vijana walifanya akzi nzuri sana

Jahazi mordan taarab wakifanya vitu kweny jukwaa usiku wa jana kwenye Tamasha la busara

Baadhi ya wapezi walihudhuria kwenye tamasha siku ya kwanza ya ya ufunguzi wa tamasha hilo