Sunday, May 29, 2011

Birmingham yafuta safari ya Tanzania


Birmingham yafuta safari ya Tanzania
msimu huu walikuwa wasafiri waje Tanzania kupambana na Simba na Yanga katika mechi za kirafik..Hafla wamehairi.. Mabingwa hao wa kombe la Carling sasa wanatafuta nchi ya kwenda kucheza mechi za za kalba ya kuanza kwa msimu

No comments: