Sunday, May 29, 2011

LIONEL MESSI NI NOMAAA


Lionel Messi
Amechaguliwa na shirika la soka la dunia FIFA's kuwa ndie mchezaji bora wa dunia kwa mara ya pili mfululizo
Alikuwa na medali mbiliza za ushindi wa European Champions League Na sasa amechukua tena ya tatu jana baada ya jana Barcelona ku ichapa Manchester United 3/1
Lionel Messi,hadi sasa ana umri wa mika 23 tu Mchizi anatokea Argentina,

No comments: