Sunday, May 29, 2011

EVE ALBUM YAKE KUTOKA MWAKA HUU


Mkali EVE yupo katika hatua za mwisho kukamilisha album yake baada ya ukimya takriba miaka 9 Album inaitwa 'Lip Lock',aliyoianza tokea 2007 .Album ya mwisho ya Eve ilikuwa inaitwa 'Eve-Olution
Akizunguma katika sherehe za Gumball 3000 Rally mjini London, Eve amesema emshakamisha album hiyo na mwishoni mwa mwaka huu itakuwa sokoni

LIONEL MESSI NI NOMAAA


Lionel Messi
Amechaguliwa na shirika la soka la dunia FIFA's kuwa ndie mchezaji bora wa dunia kwa mara ya pili mfululizo
Alikuwa na medali mbiliza za ushindi wa European Champions League Na sasa amechukua tena ya tatu jana baada ya jana Barcelona ku ichapa Manchester United 3/1
Lionel Messi,hadi sasa ana umri wa mika 23 tu Mchizi anatokea Argentina,

NATO KUISHAMBULIA NYUMBA YA GADAFI


NATO imeshambulia nyumba ya Gaddafi
NATO inasema kuwa imeangamiza ukuta mkubwaa na minara ya walinzi katika eneo la nyumba ya Kanali Gaddafi wa Libya mjini Tripoli, kwa mashambulio mawili yaliyofanywa na ndege za umoja huo wa kijesh

KOCHA UHARO


KOCHA UHARO Wa Man United Ferguson amekiri kumsajili kipa David de Gea wa Atletico Madrid

Birmingham yafuta safari ya Tanzania


Birmingham yafuta safari ya Tanzania
msimu huu walikuwa wasafiri waje Tanzania kupambana na Simba na Yanga katika mechi za kirafik..Hafla wamehairi.. Mabingwa hao wa kombe la Carling sasa wanatafuta nchi ya kwenda kucheza mechi za za kalba ya kuanza kwa msimu

Friday, May 27, 2011

MPANGO MZIMA NDANI YA DUNGA



PANDE ZA DUNGA MPO TAYARI?
bonge la party litafanyika siku ya Ijumaa tarehe 3. mwez wa 6 pande za dunga jumba la mawe .Ntakuwepo mimi Dj side kwenye one n 2 .. wasanii wakali kukamua kama Rico singo, Juma 20, Baby J. na Dorica kiingilio ni alf 3000 tu mida ya mbili usiku mpaka majogoo Usikose

BEACH PARTY


Party pple get ready 4th beach party ever! Dj side will rock u til late! Nnstop beat music all around the world.. Its saturday 9te 28th the roof is on fire! Dont miss it in Deman lorge hakuna kulala eastn znz road to Paje.. Entrc Free..00

Thursday, May 26, 2011

BERRY BLACK KUANZA UK TOURS


BERRY BLACK LEO KUELEKEA UK
Mkali wa znz berry leo mida hii ya saa 10 anatarajiwa kuchukua pipa kuelekea UK kwa ajili ya Tour yake.... safi kaka wakilisha znz

HUSSEN MACHOZI HODIIIIII HADI MOMBASA KENYA


HUSSEN MACHOZI KUMTOA NA MTOTO WA MOMBASA
Hussein Machozi amefanya kazi na msani kutoka Mombasa kwenye track mpya iitwayo Nishaoa soon ngoma itakuwa kitaaa

KEYSHA COLE APATA MUME


KEYSHIA COLE HATIMAE KUOLEWA
R & B Artist Keyshia Michelle Cole over the weekend amefunga ndoa pande za Cleveland-Ohio na Danie “Boogie” Gibson,mchezaji wa BasketBall wa timu ya Cleveland Cavaliers inayocheza ligi ya NBA ya Marekani

MR BLUE SOON KUJA NA TILATILA


Mr Blue Na kitu kipyaa
Mr Blue aka Bayser,sasa ameingia studio na sasa yuko mbioni kutoa ngoma itakayozungumzia mambo ya party au bata za mwisho wa wiki
Track hiyo itaitwa 'Tilalilah'

NIKI MINAJ MPANGO MZIMA


Nicki Minaj ametajwa na kuvikwa taji la Queen of Hip-Hop na jarida la Rolling Stone aka Rolling Stone magazine

P SQUARE KUTOKA NA ALBUM MPYAAA SOON


Square wamewachukua dancers 12 (6 wa kiume na 6 wa kike) walipofanya mchakato wa kuwatafuta dancers watakaoshirikiana nao kwenye maandalizi ya album yao ya 5 na kwa sasa wako kwenye mazoezi kwa muda wa miezi 3 sasa na album yao inatarajiwa kuwa na kati ya track 10 na 13,zikiwemo za Bunieya na Forever amb...azo zitakua kitaani soon kwa fans wao
Square wamewachukua dancers 12 (6 wa kiume na 6 wa kike) walipofanya mchakato wa kuwatafuta dancers watakaoshirikiana nao kwenye maandalizi ya album yao ya 5 na kwa sasa wako kwenye mazoezi kwa muda wa miezi 3 sasa na album yao inatarajiwa kuwa na kati ya track 10 na 13,zikiwemo za Bunieya na Forever ambazo zitakua kitaani soon kwa fans wao

Tuesday, May 24, 2011

TUZO ZA BILLBOARD JUZI NI NOMAAA!!


TOP ARTIST

JUSTIN BIEBER EMINEM LADY GAGA RIHANNA TAYLOR SWIFT *WINNER

TOP NEW ARTIST

JUSTIN BIEBER * WINNER TAIO CRUZ KE$HA BRUNO MARS NICKI MINAJ

TOP MALE ARTIST

JUSTIN BIEBER DRAKE EMINEM *WINNER BRUNO MARS USHER

TOP FEMALE ARTIST

KE$HA LADY GAGA KATY PERRY RIHANNA *WINNER TAYLOR SWIFT

TOP DUO/GROUP

THE BLACK EYED PEAS *WINNER BON JOVI LADY ANTEBELLUM LINKIN PARK U2

TOP BILLBOARD 200 ARTIST

JUSTIN BIEBER SUSAN BOYLE EMINEM LADY ANTEBELLUM TAYLOR SWIFT *WINNER

TOP HOT 100 ARTIST

KE$HA BRUNO MARS KATY PERRY *WINNER RIHANNA USHER

TOP RADIO SONGS ARTIST

DRAKE BRUNO MARS KATY PERRY RIHANNA *WINNER USHER

TOP POP ARTIST

JUSTIN BIEBER *WINNER THE BLACK EYED PEAS KE$HA LADY GAGA KATY PERRY

TOP R&B ARTIST

ALICIA KEYS MONICA RIHANNA TREY SONGZ USHER *WINNER

TOP RAP ARTIST

DRAKE EMINEM *WINNER LIL WAYNE LUDACRIS NICKI MINAJ

TOP COUNTRY ARTIST

JASON ALDEAN KENNY CHESNEY LADY ANTEBELLUM TAYLOR SWIFT *WINNER ZAC BROWN BAND

TOP ROCK ARTIST

KINGS OF LEON LINKIN PARK MUMFORD & SONS MUSE TRAIN *WINNER

TOP LATIN ARTIST

ENRIQUE IGLESIAS PITBULL PRINCE ROYCE SHAKIRA *WINNER WISIN & YANDEL

TOP DANCE ARTIST

THE BLACK EYED PEAS DAVID GUETTA LADY GAGA *WINNER LAROUX RIHANNA

FAN FAVORITE OF THE YEAR

JUSTIN BIEBER *WINNER

ALBUMS AWARDS

TOP BILLBOARD 200 ALBUM

JUSTIN BIEBER — “MY WORLD 2.0″ SUSAN BOYLE — “THE GIFT” EMINEM — RECOVERY* WINNER LADY ANTEBELLUM — “NEED YOU NOW” TAYLOR SWIFT — “SPEAK NOW”

TOP POP ALBUM

JUSTIN BIEBER — MY WORLD 2.0 *WINNER BLACK EYED PEAS — “THE E.N.D.” KE$HA — “ANIMAL” LADY GAGA — “THE FAME” KATY PERRY — “TEENAGE DREAM” *WINNER

TOP R&B ALBUM

MONICA — “STILL STANDING” RIHANNA — “LOUD” SADE — “STRONGER THAN LOVE” TREY SONGZ — “PASSION, PAIN & PLEASURE” USHER — “RAYMOND V. RAYMOND” *WINNER

TOP RAP ALBUM

DRAKE — “THANK ME LATER” EMINEM — RECOVERY *WINNER NICKI MINAJ — “PINK FRIDAY” LIL WAYNE — “I AM NOT A HUMAN BEING” KANYE WEST — “MY BEAUTIFUL DARK TWISTED FANTASY”

TOP COUNTRY ALBUM

JASON ALDEAN — “MY KINDA PARTY” LADY ANTEBELLUM — “NEED YOU NOW” SUGARLAND — “THE INCREDIBLE MACHINE” TAYLOR SWIFT — SPEAK NOW *WINNER ZAC BROWN BAND — “THE FOUNDATION”

TOP ROCK ALBUM

THE BLACK KEYS — “BROTHERS” JACK JOHNSON — “TO THE SEA” KID ROCK — “BORN FREE” LINKIN PARK — “A THOUSAND SUNS” MUMFORD & SONS — “SIGH NO MORE” *WINNER

TOP LATIN ALBUM

MARC ANTHONY — “ICONOS” CAMILA — “DEJARTE DE AMAR” ENRIQUE IGLESIAS — EUPHORIA *WINNER PRINCE ROYCE — “PRINCE ROYCE” SHAKIRA — “SALE EL SOL”

TOP DANCE/ELECTRONIC ALBUM

DAFT PUNK — “TRON LEGACY (SOUNDTRACK)” LADY GAGA — “THE FAME” *WINNER LADY GAGA — “THE FAME MONSTER” LADY GAGA — “THE REMIX” OWL CITY — “OCEAN EYES”

TOP HOT 100 SONG

TAIO CRUZ — DYNAMITE *WINNER EMINEM FEAT. RIHANNA — “LOVE THE WAY YOU LIE” BRUNO MARS — “JUST THE WAY YOU ARE” KATY PERRY FEAT. SNOOP DOGG — “CALIFORNIA GURLS” USHER FEAT. WILL.I.AM — “OMG”

TOP DIGITAL SONG B.O.B FEAT. HAYLEY WILLIAMS — “AIRPLANES” TAIO CRUZ — DYNAMITE *WINNER EMINEM FEAT. RIHANNA — “LOVE THE WAY YOU LIE” BRUNO MARS — “JUST THE WAY YOU ARE” KATY PERRY FEAT. SNOOP DOGG — “CALIFORNIA GURLS”

TOP RADIO SONG

TAIO CRUZ — “DYNAMITE” EMINEM FEAT. RIHANNA — “LOVE THE WAY YOU LIE” BRUNO MARS — JUST THE WAY YOU ARE *WINNER USHER FEATURING PITBULL — “DJ GOT US FALLIN’ IN LOVE” USHER FEAT. WILL.I.AM — “OMG”

TOP STREAMING SONG (AUDIO)

TAIO CRUZ — “DYNAMITE” EMINEM FEAT. RIHANNA — “LOVE THE WAY YOU LIE” LADY ANTEBELLUM — “NEED YOU NOW” BRUNO MARS — “JUST THE WAY YOU ARE” NELLY — JUST A DREAM *WINNER

TOP STREAMING SONG (VIDEO)

JUSTIN BIEBER FEAT. LUDACRIS — BABY *WINNER EMINEM — “NOT AFRAID” EMINEM FEAT. RIHANNA — “LOVE THE WAY YOU LIE” LADY GAGA — “BAD ROMANCE” SHAKIRA FEAT. FRESHLEYGROUND — “WAKA WAKA (THIS TIME FOR AFRICA)”

TOP POP SONG

TAIO CRUZ — “DYNAMITE” *** WINNER ** BRUNO MARS — “JUST THE WAY YOU ARE” KATY PERRY FEAT. SNOOP DOGG — “CALIFORNIA GURLS” KATY PERRY — “FIREWORK” KATY PERRY — “TEENAGE DREAM”

TOP R&B SONG

ALICIA KEYS — “UNTHINKABLE (I’M READY)” RIHANNA FEATURING DRAKE — “WHAT’S MY NAME” TREY SONGZ FEAT. NICKI MINAJ — “BOTTOMS UP” USHER FEAT. WILL.I.AM — OMG *WINNER USHER — “THERE GOES MY BABY”

TOP RAP SONG

B.O.B FEAT. HAYLEY WILLIAMS — “AIRPLANES” B.O.B FEAT. BRUNO MARS — “NOTHIN’ ON YOU” EMINEM FEAT. RIHANNA — LOVE THE WAY YOU LIE *WINNER FAR*EAST MOVEMENT FEAT. DEV & THE CATARACS — “LIKE A G6 NELLY — “JUST A DREAM”

Friday, May 6, 2011

SHAGGY KUTIMBA ZANZIBAR 18 JUNE 2011


SHAGGY ANATARAJIWA KUJA ZANZIBAR KATI YA 18-26 June 2011 KATIKA TAMASHA LA ZIFF .. WADAU WA MCHIZI MPO TAYARI KWA SHOW KALI YA DANCE HALL NA MKALI SHAGGY? MPANGO MZIMA NDANI YA ZANZIBAR KATIKA TAMASHA LA ZIFF

KISIMA MUSIC AWARD 2011


Tuzo za 9 za Kisima toka Kenya aka Kisima Music Awards – 2011 zimezinduliwa jijini Nairobi-Kenya
Kisima Music Awards ni tuzo zinazoandaliwa nchini Kenya kwa ajili ya kuwatuza wasanii waliofanya vizuri kwa ukanda wa afrika mashariki na tuzo hizo zitafanyika kwenye ukumbi wa KICC,tarehe 30 September 2011

Wednesday, May 4, 2011

SHAA - CRAYZ

TMK KUJA NA MOVIE YA PAMOJA


Makundi mawili yaliyohasiana ya miondoko ya kizazi kipya toka pande za Temeke,TMK Wanaume Family na TMK Wanaume Halisi wanatarajiwa kutoa movie la pamoja

Movie hilo linatarajiwa kuwaunganisha mahasimu hao,ambao awali walikuwa kundi moja na kufanya kazi kadhaa wakiongozwa na Meneja wao Said Fella ambaye kwa sasa anasimamia kundi la TMK Wanaume Family

Kwa sasa Maandalizi ya filamu hiyo yanaendelea ambapo wanakamilisha hatua ya kuandaa mwongozo utakaochukua wiki mbili hadi kukamilika kwake,na lengo la kuandaa filamu hiyo ni kuelezea historia ya wanamuziki wa kundi hilo,toka walikotoka katika safari yao ya muziki hadi walipofikia sasa

Wanamuziki wote wa makundi hayo watashiriki bila kubagua pia shughuli za kuunganisha miziki iliyokwisharekodiwa awali na studio hiyo inatengenezwa kwa ajili ya kuingizwa katika filamu hiyo kama soundtrack

YAJUE MAMBO 10 YA OSAM A BIN LADEN




1- Osama bin Mohammed bin Awad bin Laden aka Osama bin Laden alizaliwa tarehe 10 March,1957 Riyadh-Saudi Arabia,akiwa ni mtoto wa 17 kati watoto 57 kuzaliwa toka kwa baba yake Mohammad bin Laden,tajiri-bilionea na mama yake Hamida Al-Attas anayetokea Syria alikua ni mke wa 10 kwa baba yake!

2 - Baba yake Mohammed bin Laden alifariki kwenye ajali ya ndege mwaka 1967,baada ya pilot wa kimarekani kufanya makosa wakati wa kutua na kumuachia Osama Bin Laden urithi wa dola milioni 80 akiwa tu na miaka 11

3 - Osama Bin Laden alikua ni muanzilishi na kiongozi wa kundi la Al-Qaeda mwezi August 1988 - 1989na alisomea Economics na business Administration kwenye Chuo cha King Abdulaziz na inasemekana kuwa alipata degree ya Civil Engineering in 1979,au degree ya Public Administration mwaka 1981!

4 - Kuanzia mwaka 2002 Osama bin Laden alioa wake 4 na anakadiriwa kuwa na watoto 25 mpaka 26!

5 - Jeshi la Marekani lilimtafuta osama Bin Laden kwa miaka 10,lakini kikosi cha watu 20–25 toka US Navy Seals aka Seal Team Six lililoitwa 'Geromino' liliwachukua dakika 40 tu kabla ya kumuua kwa kumpiga risasi kichwani na kifuani!

6 - Wakati wanajeshi wa Marekani wanavamia nyumbani kwa Osama,Rais Barack Obama alikua anaangalia live kupitia real time video,mishe mishe zote za kuuwawa kwake!

7- Nyumba aliyokua anakaa pande za Abbottabad ilikua ina thamani ya dola milioni 1 za kimarekani,lakini eneo lililokuepo ilikua ni nyumba mbaya kati ya 40 zilizokuepo pande hizo,usioitegemea kama inaweza ikawa makazi ya mtu,isiyokua na mawasiliano ya simu wala internet!

8 - Majirani zake pande za Abbottabadd walikua hawajui kuwa Osama alikua anaishi eneo hilo coz nyumbani kwake kulikua kumetulia sana,na baada ya kuona kuwa kusikia milio ya risasi,waliamua kuwasha TV na kushangaa kuona Rais Obama akitangaza kuwa Osama ameuliwa eneo lao wanaloishi!

9 - Baada ya kutangazwa kuwa ameuwawa,mtandao wa twetter uliweka historia,Jumapili ya tarehe 01 May,2011 kwa kupata tweeter sms 3,440 kwa sekunde!

10 - Baada ya kutangaza kuwa ameuwawa Rais Obama aliandaa dinner na alipewa 'standing ovation' (wakati anaingia watu walikua wameshakaa na wakasimama na kumshangilia kwa kumpigia makofi) kwenye ikulu ya White House na kuwapongeza mashujaa waliomuua Osama Bin Laden!