Friday, May 27, 2011

MPANGO MZIMA NDANI YA DUNGA



PANDE ZA DUNGA MPO TAYARI?
bonge la party litafanyika siku ya Ijumaa tarehe 3. mwez wa 6 pande za dunga jumba la mawe .Ntakuwepo mimi Dj side kwenye one n 2 .. wasanii wakali kukamua kama Rico singo, Juma 20, Baby J. na Dorica kiingilio ni alf 3000 tu mida ya mbili usiku mpaka majogoo Usikose

No comments: