Tuesday, June 14, 2011

SHAGGY KUKAMUA IJUMAA 24/6/2011 ZANZIBAR


Hatimae Shaggy kukamua siku ya ijumaa ya tarehe 24 nwezi huu katika ukumbi wa ngome kongwe mambo club. kiingilio ni sh/ 5000 kwa mtanzania na dola 10 kwa wageni.. milango itakua wazi kuanzina 12 jion show haitakuwa tena uwanja wa amani na sasa itakuwa pale pale ngome kongwee idadi ya watu watakao ruhusika kuingia ni watu 4,000 tu

No comments: