Tuesday, June 14, 2011

KANYE WEST AMPA LEBO D'BANJ....GOOD MUSIC


D'Banj artist toka Nigeria,amepata deal toka kwa Rapper Kanye West baada ya Kanye kum-sign kwenye lebo yake ya Good Music D'Banj ataungana na Artist wakubwa kama Common,John Legend,Kid Cudi,Pusha T na Mos Def ambao wako chini ya label ya Good Music

No comments: