Saturday, February 12, 2011

HAVING FUN WIT SUPER STARS!!! LUNCH YA NGUVU!!


Mimi na Mustapha Asenal tukibadilishana mawazo huku tukiwa tunapata lunch kwa pamoja I say Jamaa anaongea mpaka basi Maana alikuwa akinichekesha mpaka daaar sikutarajia . Hapa tulikuwa kwenye Kasri la Mfalme Pale forodhan mida ya mchana mchana hivi

Hapa nikiwa na mzee wanga Mhamed Ilyas tukipata chakula cha mchana... Tulizungumza mambo mengi sana. Na nimejufunza vitu vingi kutoka kwa mzee wangu huyu. Kwa sasa Mhamed Ilyas kila siku ya Alhamis anapiga Piano pale Movenpic Dar. na kila jumapiki yupo serena Inn zaznibar

No comments: