Wednesday, August 18, 2010

BERRY BLACK AACHIA VIDEO MPYAA NA MWANA DADA DORICA



Katika hali isio ya kueleweka hatimae berry ameachia video mpyaa inayokwenda kwa jina la Nazila ngoma ambayo amefanya na A T msanii ambae ilikuwa ikisemekana eti wana bifuu ya mdaa mrefu pia akiwa na mwana dada dorica . kama unavyoona hapo juu berry akiwa na A T.... kama unakumbuka kulikuwa na bifu kubwa sana wakati A T alipotimuliwa kutoka kwenye lebo ya Teddy Record . na ikasemekana kuwa wawili hawa ilikuwa haziwivi chungu kimoja. kiasi ikafika hadi kuimbana. Leo tunaona wapo kwenye ngoma moja

Berry akiwa na A T kwenye video yake mpyaa ya Nazira

Mwana dada Dorica akiwa kwenye poz ya camera kwenye video ya Nazira.

Berry akiwa na ma stars kutoka znz kwenye video yake pyaa

Video hii ya Berry imefanywa na Adam juma wa Visual Lab -- Na ngoma hii imefanya na Aron name kutoka pale jupiter record

No comments: