Sunday, August 15, 2010

RAMBO AJA NA MOVIE MPAYAA THE EXPENDEBALE


Daaa? Jamani Rambo kakusuduia nini hasaa kwenye Hii movie yake mpyaa? Yaani katafuta mastaa watupu .Mtu kama Chwarzenegger? Jet li? Steve Austin? Mickey Rourke na Jason Statham. Yaani ni balaaa. Hapa kasoro Van dame tu amabe pia alipigis sim awemo kwenye hii movie bt mchizi akatole njee. Hii movie Itauza mbayaaaa. Inaitwa The Expendeble. Wiki ndio Imetoka . Yaani ni noma Angalia Trailer yake hapo

No comments: