Sunday, August 22, 2010

DORIKA ASEMA ( LEO NAACHIA NGOMA YANGU MPYAA )


DORIKA
Wapenzi wangu leo naachia ngoma yangu mpya.. Ngoma hii nimefanya na kaka moja ambae ni producer wa studio flan.. Unataka kumjua ni nani? unataka kujua mara hii nimetoka vipi? Unataka kujua inaitwaje? usikose kusikiliza Bongo brain leo Juma tatu usiku na Dj side ndani ya Zenjifm Usiku kuanzia saa 3 hadi 5. Naomba maoni yenu mtakapo isikia hiyo ngoma . nimeachia hii kwa ajili ya skukuu ambayo bado siku kadhaa tu. so kaeni mkao wa kula na kitu kipyaa. ni hayo tu !!

No comments: