Wednesday, August 11, 2010

NIITE 4 SHOW NIZO 4 SHOW BC TENA .


Juzi nilikuwa naongea na nizo 4 show unajua amesemaje kuhusu jina la nizo 4 show? ameniambia kwa sasa anataka watu wa mwite 4 show . Na amenipatia ngoma yake mpya ambayo imetengenezwa na Alan mapigo aka Vampare. pamoja na Producer wake Labi One. au lazizo. Ngoma hiyo inakwenda kwa jina la ngoma ni Cross Boder. Ngoma amefanya na Junior . Nizo ameniambia
lengo lakubadilisha style ya muziki wangu ni kujitofautisha zaidi na ma mc wengine pia kuupeleka music wangu level za kimataifa zaid.nashukuru mwenyezi mungu dalili nzuri zimeanza kuonekana,najivunia kufanya kazi na wanamuziki toka nje ya tanzania.nimeshafanya kazi na JOE KYZE toka congo,amenishirikisha kwenye ngoma yake,nifanya kazi na TIZO mtanzaniaanaefanya muziki southafrica pamoja na wakali toka hapahapa bongo.hiyo kwangu niatua kubwa so naomba shabiki wangu wasaport kwa hiki nachokifanya kwani nina vingi vizuri naitaji kuwapa . Sikiliza The crush siku ya Juma tano Utaisikia pini hii mpyaa ya 4show

No comments: