Sunday, August 1, 2010

WADAU POLENI SANA KWA KUWA KIMYA KWA MDA MREFU


Kwakweli maisha haya we acha tu. Maana ndani ya huu mwezi ulioisha kwangu ilikuwa balaa. nalala siku chache na kesha mda mwingi . Nilikuwa bize kupita maelezo party nazo zilikuwa nyingi. Nilikuwa na majukumu mengi sana kias nikawa hadi nashindwa ku update blogs zangu. . Lakini sasa nimejipanga na natumai wadau mtafurahi . Ntajitahid niweke vitu vipya na newz kama kawa.

I la usisahau tarehe 7 ni vunja jungu party ndani ya kendwa rock . Dj nitakuwa mimi {Dj side} mwanzo mwisho. Pia kutakuwa na ngoma za kiasili. BIKIDUDE NA UNYAGO BAND watafanya mambo kuanzia saa moja hadi 6. na baada ya hapo ni kujirusha tuu mpaka bac. karibuni sana

1 comment:

Unknown said...

kaka pole kwa kazi ndo majukumu bro