Tuesday, February 2, 2010

HAS J APIGWA HADI KUVUNJWA MIGUU


Katika hali isoyoeleweka Usiku wa kuamkia jumapili Has J alichezea kichapo kibaya Maeneo ya michenzani na watu wasiofahamika hadi kuvunjwa miguuu , Sababu hasa ya kichapo hicho hadi sasa hakijulikani . Alipoulizwa Has J Kuhusiana na suala hili alijubu "Player haters dnt like my swaggers" akimaanisha Vicheche wenye chuki hawapendi maendeleo yake .

No comments: