Sean Kingston tayari amewasili jijini Dar usiku wa kuamkia leo katika uwanja wa Nyerere International airport kwa ajili ya tuzo za kilimanjaro zinazotarajiwa kufanyika Kesho ijumaa … Sean Kingstone…. Atapewa nafasi ya kutumbuiza pia kutoa tuzo ya Wimbo bora wa RAGGA . baadhi ya wasanii watakao toa burudani kesho ni
AY. . Fid Q. . Joh Makini. . Marlow. . African Stars – Twanga Pepeta.
. Mwansiti. . Lady Jaydee. , Mzee Yusuph na Vijana kutoka ZANZIBAR wanaotesa na wimbo wao wa Bata na Ahmada Offside Trick Pia watakuwepo . Wahapahapa pamoja na Ali Kiba
No comments:
Post a Comment