Tokea kumekucha leo Zanzibar nzima hakutokeki. Mvua ni kubwa sana. Hapa ni maeneo ya kwa mchina . Mombasa.. Pia nimepata habari kuwa maeneo ya shamba ndio mvua kubwa sna . Haabari kamili utazipata kwenye blog yetu ya Radio . www.zenjifm.blogspot.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment