Sunday, March 7, 2010

STANBOI --- UTANIPATA KWENYE WEB KWA SASA!


STANBOI WAKWANZA KWENYE PICHA AKIWA NA J-CO LAURECE NA WILLIUM

Mwana muziki Mtanzanian Anaeishi marekani Anaejulikana kwa jina la Stanboi "The African Child" Ametangaza rasmin kwamba kwa sasa tayari ameshazindua tovuti ya kwake inayoitwa www.stanboi.com. Ambapo katika tovuti hii utapata kujua habari zake na mwenendo mzima wa shughuli zake za kimuziki Kwa sasa mchizi yupo state akisongesha kwenye game Mchizi kwa sasa anamahusioano mazuri sana na wasanii wakubwa kama Omario ,J co na wengineo wengi Kama unakumbuka Stanboi alifanya vizuri sana katika wimbo alishirikishwa na AY uitwao madem wataftaji .. Kwa habari zaid tembelea tovuti yake

No comments: