Tuesday, March 23, 2010

TAMASHA LA NCHI ZA MAJAHAZI ZIFF KIFANYIKA JULY 10


Mpango mzima wa tamasha la 13 la nchi za majahazi tayari umeshatangazwa rasmin . Shuhuli nzima itakuwa tarehe 10 hadi 18 mwezi wa 7 mwaka huu 2010.. Kaeni tayari na kujiandaa kushiriki kwenye tamasha hili. Mwaka huu takriban filam nyingi sana zinatarajiwa kuonyeshwa . ambazo zimeshinda tuzo mbali mbali katika nchi tofauti. Litakuwa ni Tamasha la aina yake.

The annual Zanzibar International Film Festival is the biggest cultural event on the island and takes place in various historical locations in Stone Town on the island of Zanzibar. During the nine-day festival, visitors can expect a warm introduction to the island's unique cultural heritage through not only film but art, crafts, literature, film, dance, performing arts and music. Events also take place on the nearby islands of Unguja and Pemba. Its on 10 til 18 July 2010 .. You are most welcome

No comments: