Wednesday, June 23, 2010

TAREHE 25 MWEZI HUU NDIO ZANZIBAR MUSIC AWARDS


Hadi sasa Juma 20,Beby J na Ali kiba ndio wasanii walio tajwa kuwa ndio watako toba burudani kwenye Tuzo hizi. Mgeni wa tuzo hizi ni Bi Ashaa Abdallah Juma Waziri wa kazi maemdeleo ya vijana wanawake na watoto. Tuzo hizi zitafanyikka katika ukumbi wa Salama holl bwawani . Ifo zaidi zinakuja

No comments: