Tuesday, November 10, 2009

Flave Djs kwenye Pozi la Ukweli


Hiki ndo kikosi cha maangamizi kikiwa kwenye pozi la ukweli maaneo ya Forodhan , Kulia ni Masta Feda akifuata Dj side Kati kati ni Rama B AKA Mkachizi . Kushotoyake ni Mb skwash . Dj sum mzeee wa kutupa mizingia akiwa kushoto mkononi na saa ya lak 2

No comments: