Tuesday, November 10, 2009

MAALIM SEIF AKIHOIJIWA NA ZENJIFM LEO



Katibu mkuu wa cuf maalim seif sharif hamad leo Alihojiwa na Zenjifm FM Radio Nakusema lengo kuu la yeye na chama chake kwaujumla kukutana na rais wa Zanzibar na hatimaye kutangaza rasmi kumtambua rais wa Zanzibar baada ya miaka 4 ya chama cha cuf yakutomtambua rais aman abeid karume ni kuzika tofauti ambazo zilizoonekana kujitokeza katika miongo kadhaa ilitopita ni kujenga Zanzibar mpya sasa Bonyeza Hapa(Maalim Seif) Kusikia Maalim Alisema nini?

No comments: