Tuesday, November 10, 2009

NAKO 2 NAKO KUWABAMBA TENA


Nako 2 nako Kuja kwa Vishindo Pini lao jipyaa TayAri limeshakamilika na liko tayari kutoka Pini hilo ambalo wamempa shavu Mwanadada Pipi Linakwenda kwa Jina la MPANGO MZIMA na ngoma hiyo imetengenezwa na Producer Q kutoka Bongo Rec.

No comments: