Sunday, November 8, 2009

Maisha club Yawaka Moto


Maisha club ya ostabei jijini dar yawaka moto huku ikiwaacha watu vinywa wazi kutokujua chanzo cha moto huo . Hata hivyo hakuna aliyedhurika Ila Mjumba ndo Unauona ulivyo hivyo .. Kuna baadhi ya Tetesi zinadai chanzo cha moto huo ni Hitilafu ya Umeme

No comments: