Tuesday, November 10, 2009

MAALIM SEIF AKIZUNGUMZIA SUALA LA MUUNGANO

Licha ya maalim sef kusema kuwa lengo la cuf kukutana na kutangaza rasmi kumtambua rais karume kwa lengo la kuzika tofauti na kujenga Zanzibar mpya , bado tunatambua kuwa Zanzibar imepita katika mazingira tofauti tofauti lakini kwanini kwa kipindi kirefu kumekuwa kukionekana hali ya tofautitofauti kama upemba na unguja na vitu vya namna hiyo tatizo nini maalim? bonyeza hapa (Maalim Seif) Kusikia Maalim nini kasema

No comments: