Monday, April 12, 2010

HATIMAE NA DULLY NAE AJITOA KWEMYE TUZO


Hatimae nae Dully sykes ametangaza rasmni nae kujitoa katika tuzo za kili. Nimesema na nilishasema sitaki kuwekwa katika kategory yoyote, sioni faida ya tuzo, sijawahi kupata tuzo tangu nianze mziki, single 36 mpaka sasa kama salome hunifahamu hakuna hata moja nimepata tuzo.ni bora nitoe single tu na wala hata album sitaki.amesema dullu.Dully amekuwa msanii wa pili kujitoa baada ya t.i.d kujitoa wiki mbili zilizopita.kwa sasa dully yuko katika mazoezi ya band yake ijayo inayoitwa BROTHERMAN BAND Kwa sasa tayari ameshadondosha ngama yake mpyaa inayokwenda kwa jina la Papa..

No comments: