Friday, April 23, 2010

MPANGO MZIMA WA MSANII (I.T) AU MKALI WA HUZUNI TOKA ZANZIBAR UKO HIVII!

FLEVA DJS MORE THAN DJS
Juzi katika tembea tembea yangu Nilienda Pale Mtoni Marine Hotel kupata mambo mambo flani . Wakati nafika pale nikakutana na Kijana huyu I.T) au mkali wa huzuni . Nilishangaa kumkuta Reception . Nilidhani ameacha mziki , Nilidhani amekuwa hotely , Mziki bac. Kumbe ilikuwa tofauti Katika maonegzi yetu aliniambia hivi

Nimejiandaa vilivyo kaka katika mikakati ya kuachia ngoma yangu mpya
ambayo inaitwa(POKEA) imefanywa na producer mahiri kutoka
zanzibar anayeitwa MACONELLAH. Nimekuwa kimya kwa miezi 6
tangu niachie ngoma ya TAMBUA kwasababu producer wangu mara
nyingi akinitengenezea ngoma mimi huwa anapenda kuitulizia zaidi
kabla ya kutoka kwenda redio.
nyimbo yangu hiyo imeelezea jinsi gani ninavyopata tabu mara baada ya
mpenzi wangu kuondoka katika mazingira ya kutatanisha na sijui wapi
alipo kwenda. na ndio maana nikamtumia salamu zangu apokee.
mara baada ya kupata mateso mengi wakati hayupo kaka.

Najisikia furaha kuwa kama ni msanii katika lebo ya maconellah
pia wapenzi wangu wawe tayari kwa mambo mazuri mengi tu.
badala ya ngoma yangu hiyo ya ( pokea) ambayo itaanza kusikika soon
kutoka sasa. mana kuna mawe mengine ambayo yanakuja nimeshiirikiana na
wasanii tofauti. na pia nnampango wa kufanya ngoma na dorica wiki hii katika
studio hiyohiyo ya maconellah rec. na nyimbo hiyo inaitwa (SAUTI YA MAHABA)
imesimama katika miondoko ya zuku raggah.

never the less my vdo is finished so they are going to see it soon. that all.
Hapa hoteli napiha mzigo just kutafuta ruzuku kaka . si unajua mziki wetu bila ya kazi pembeni mambo hayendi ..

niite the son of maconellah (I.T) mkali wa huzini toka zanzibar.

Jamnai ni hayo tu kutoka kwa jamaa.
FLEVA DJS MORE THAN DJS

No comments: