Saturday, April 3, 2010

MAMBO Y A EASTER PARTY NA FLAVA DJS


Nachukua nafasi hii kuwashukuru wale wote tulokuwa nao pamoja jana kendwa rock kwenye Easter party... Nawashukuru Ndugu zangu kutoka Dar es salam...Jana tulikuwa nae Sebastian ndege wa Clouds fm Pia nduguza ngu wa Arusha nao pia waliwakilisha . Wageni ndio walikuwa wengi sana . Kutoka Canada Norway. Italy .German , Denmak . Bila kuwasahau ndugu zangu kutoka Indiaa. wahindi walikuwa wengi sana . Unajua Zanzibar kwa sasa kuna Festival ya Agakhan so wahindi walikuwa wengi.
Kiufupi party ilikuwa mzuka sana , Na kila mtu alikua na furaha watu wamee enjoy sana tena sana. Nilihakikisha napiga ngoma all around the world.. kwa rika zote.. I thank all v you for comin!!!
Kwa Upande wa ma Djs nilikuwa mimi j side na Dj Dully.. Bt mimi nilichukuwa mda mwingi sana kuwarusha watu . Pia Alijitokeza Dj wa kike kutoka Norway nae alikuja kukamua nyimbo kama tatu hivi.. I say? Party ilikuwa mzuka

Wadau party nyengine itakuwa tarehe 8 mwezi huu huko huko nungwi.. Sehem zamani palikuwa pakiitwa kwa CHOLO bt sasa panaitwa Golden Fish .. kwa Upande wa Ma Djs Nitakuwepo mimi mwanzo mwisho. (Dj side from Zenjifm) karibuni sana .

No comments: