Tuesday, April 27, 2010

HUYU NDIE ALIE KUWA AL-BATA TOBATIATA WA SIKU HIYO

FLEVA DJS MORE THAN DJS

FLEVA DJS MORE THAN DJS

FLEVA DJS MORE THAN DJS

FLEVA DJS MORE THAN DJS
Hii ilikuwa siku ya Ijumaa ndani ya ukumbi wa Obama Pub kiwengwa katika uzinduzi wa Album ya Ofside Trick .. Mwana dada huyu alimwaga radhi mpaka bac maana alipanda kwenye stage akiisakata hasaaa ngoma ya bata. Ilibidi ngoma ya bata Niirudie kama mara 4 kila ikiisha watu wanapiga kelele Dj side rudia rudia . Kwenye stage . Mc alikuwa Mb skwash ambae aliwafanya muda cris na Lil Getto uzalendo uwashinde ili bidi tu tufanye hivo. Wana dada walimwaga radhi mpaka bc maana picha nyengine aaa hazifai ..maana imenibidi nisiziweke Blog yangu itakuwa mashakani .
FLEVA DJS MORE THAN DJS

No comments: