Wednesday, April 14, 2010

SHAA AACHIA PINI MPYAA - SHOGA


Mwana dada machachari katika Gemu Shaa ameachia wimbo wake Mpyaa Unaokwenda kwa jina la SHOGA . Shoga ni goma ya nne ya Shaa kutoka katiba album yake iitwayo ZAMU YANGU. SHOGA ni wimbo ulionadikwa na kutungwa na Shaa mwenyewe .Producer Marco Chali ndia alieisimamia vizuri ngoma hii . Style ya beat ya wimbo huu ni mchanganyiko wa Twist na Kwaito na hiyo ilitokana na Shaa kuwa mpenzi wa style zote mbili na vilevile kutaka kutoka kitofauti. Video ya wimbo huu itakuwa on air ndani ya siku chache zijazo … Bonyeza Hapa ku download Ngoma mpya ya Shaa

1 comment:

Anonymous said...

sasa naona huyo shoga hatujajua hata kwa ufupi kaongelewa vipi..

HAJI MUSSA- KENYA