Thursday, April 22, 2010

ITAKUKUTA NA WEWE


Habari yako ndungu unaetembelea Blog hii. kwa takribani wiki moja hivi tumeshindwa ku upload story au habari . Hii ilikuwa kutokana na mabadiliko ya Technology.. Hii imetukuta sisi Zanzibar . Kwa wale wote waliokuwa wakitumia window xp service pack 2 basi walikuwa hawawezi kusoma email ya yahoo . hotmail wengine hata kufungua face book au ku upload chochote kwenye mtandao. Ndio maana tulikuwa tunasumbuka sana Hadi tumelitaftia ufumbuzi suala hili. Kumbe ni Windo xp service pack 2 imepitwa na wakati na nilazima uwe na Windo xp service pack 3 au Window vister au window 7 .. Endapo na wewe imekutokea basi usishangae just upgrade yr window .

Naamini hii ni kutoka kwa Microsoft wenyewe. So na wewe itakukuta tu.

Kuanzia kesho kama kawaida habari zitakuwa update . Thx
Posted by Zenjifm Radio Zanzibar at 9:33 AM

1 comment:

Anonymous said...

ah zanzibar ushamba nao umezidi jamani..