Tuesday, April 27, 2010

UZINDUZI WA ALBUM YA OFSIDE TRICK ZANZIBAR

FLEVA DJS MORE THAN DJS

Muda criss akikamua Ipasavyo ndani ya Pub ya Obama kiwengwa kwenye uzinduzi. show hii Niliandaa mimi. Flava Djs ndani ya nyumba
FLEVA DJS MORE THAN DJS
href="http://3.bp.blogspot.com/_Pn7kMJ4t054/S9b3sEXO6TI/AAAAAAAAAmo/kRigYamDc9g/s1600/Tani+2.JPG">
TANI BANTANI AKA NDEVU TATU AKIWARUSHA NA DANCE HALL YAKE YA MIKONO HIZO JUU
FLEVA DJS MORE THAN DJS

Mtangazaji wa Zenjifm Grac kiondo au wengi wanamwita Sister Dread hapa akishow love na Rafiki wake mpyaa Bw Silers ambae ni Mannager wa Hotel ya Ocean Paradise .Hii ilikuwa katika uzinduzi wa Album ya Ofside Trick Kiwengwaa
FLEVA DJS MORE THAN DJS

Mwana dada Dorica hapa wakiwa na Muda cris Juu ya Opama Pub wakisubiria muda wa zam yao kufika ili wakamue
FLEVA DJS MORE THAN DJS

Tani aka Ndevu tatu akiwa na Lil zinyo wakiwa wanasubiria makamuzi kuanza. Show hii imeandaliwa na (Fava Djs) wa Zenjifm. Ilikuwa ni Uzinduzi wa Album ya Ofside Trick Bata . Show hii ilikuwa siku ya Ijumaa juzi siku ya pili mambo yakendelea Tena Nugwi. KENDWA ROCK HOTEL

No comments: