Sunday, December 27, 2009

BABA MZAZI WA MSANII ALBERT MANGWEA AFARIKI DUNIA


Baba mzazi wa Albert Mangwear leo asubuhi amefariki dunia, baba huyu alikuwa anaishi Morogoro. Mazishi ya baba yake Albert ambaye alikuwa anajulikana kwa jina la KENNETH B. MANGWEHA yatafanyika huko kwake alipokuwa anaishi Morogoro. Mzee wetu alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa Kisukari.

No comments: