Wednesday, December 16, 2009

MWANAMUZIKI WA JAHAZI MORDAN TAARAB ABUKUA DIPLOMA YA UWAANDISHI


Mwimbaji nyota wa kundi la muziki wa Taarab la Jahazi Morden Taarabu, Mwanne Othman (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na wahitimu wenzake mara baada ya kupokea cheti cha uhitimu wa Diploma ya uandishi wa habari katika mahafali ya 15 ya chuo cha uandishi wa habari (DSJ ) yaliyofanyika jijini Dar wikiendi ilopita. kuShoto ni Mwajuma Njama na kulia ni Salama Saleh.
Hii ni changamoto kwa wanadada na kwa wasaniii. sio unakaaa kwenye jukwaaa na Mic tuu... Elimu muhim .., Hongera Dadaaaa.. sasa Tunataka mipasho ya ukweli...

No comments: