Tuesday, December 29, 2009

CHEGE ALBUM YA TATU IKO SOKONI


Albam ya tatu ya mtu mzima Chege Chigunda inayokwenda kwa jina la Karibu Kiumeni iko mtaani tayari na mikoani kote, ina ngoma 12 na amewashirikisha wasanii kibao kama Mangwear, Lady Jide, Q. Chilla, Wahuu kutoka Nairobi, Wyre kutoka Nairobi na Pipi.
Anasema album imeshiba ngoma zote kali na anawaomba watu wake wamsikilize alichokisema

No comments: