Sunday, December 13, 2009

TATIZO LA UMEME KIZAA ZAAA



Tatizo la umeme Zanznibar laleta kizaa zaaa jionee mwenyewe watu wakipata taabu juu ya huduma ya maji . Kumekuwa na msongamano mkubwaa kwenye baadh ya mifereji ambayo inatoa maji. . Baadhi ya mitaa Maji ni tatizo suguu. nimepata habari baadhi ya mitaa kama michenzani Dumu la maji sh/ 1000. ukitaka kupandishiwa juuu basi unalipa sh/1500. Mitaa mengine kama Magomeni , Jangombee, Nyarugusu nk. Dumu la maji ni sh 500.

No comments: