Tuesday, December 15, 2009

NAKAYA NA MRISHO POTO KUWARUSHA KATIKA TAMASHA LA KIZIMKAZI MWEZI HUU



Mwana Dada Nakaaya, ambae kwasasa yupo chini ya lebo ya Sony BMG Na Mrisho Mpoto, Maarufu kwa style yake ya Mashairi Wamepata mualoko wa kukamua kwenye Tamasha Asilia la kizimkazi Ndani ya Zanzibar ambalo litakuwa la siku tatu kuanzia 29th to 31st December 2009 Wasanii kazaa wa Asilia kushiriki wakiwemo Bi Kidude, Mama C, Zawose, Msafiri, Borafya and Clockwise.
Kauli mbiu ya Tamasha hili ni “Usafi Kama Kawa” kwa maelezo zaid tembelea www.kizinoor.org

No comments: