Sunday, December 13, 2009

MIKANDAMIZO YA AMANI NDANI YA DOM


Duu? lakini hana mvuto wa miguuu!!!! Ana miguuu ya kiumee!!! au?

Mwana dada Amani kutoka kwa watani wetu Kenyaa akifunika mbaya nyumbani kwewenye tamasha la Str8Muzik Festival;Intercollege Special 2009 ndani ya viunga vya hoteli ya Royal Village mjini Dodoma ,Tamasha hilo huandaliwa na kampuni ya Sigara TCC kupitia chapa yake ya muziki ya Str8Muzik,ambapo mpaka sasa limekwishafanyika mikoa mitatu ikiwemo Dar,Mwanza na Dodoma na sehemu zote hizo tamasha hilo lilipokelewa kwa shangwe.

No comments: