Thursday, May 13, 2010

CLUB BILICANAS YANUSURIKA KUUNGUA USIKU YA JANA


Club maarufu na yakimataifa hapa nchini,Club Bilicanas imenusurika kuungua moto usiku huu mara baada ya moja ya TV zilizowekwa ndani ya clab hiyo kuleta shoti na mpaka kulipuka kabisa,kitu ambacho kilimpelekea kila mmoja aliekuwepo ndani humo kudhania ni bomu na kuanza kukimbia kutoka nje na kwa kuulinda uhai wake.lakini kwa bahati nziri wafanyakazi wa jengo hilo walifanikiwa kuwahi kuudhibiti moto huo.Bendi ya Twanga Pepeta ndio iliyokuwa ikitumuiza hapa siku ya leo katika ambapo kila siku za jumatano bendi hiyo hupiga katika kiota hicho.

Gari la faya likiwa limesimama nje ya jengo la club bilicanas kuangalia kama kuna lolote ili kazi yake ianze mara moja.lakini kwa bahati nzuri moto huo uliweza kudhibitiwa na wafanyakazi wa club hiyo. Picha na habari ni kwa mujibu wa http://issamichuzi.blogspot.com/

No comments: