Thursday, May 13, 2010

SEAN KINGSTON AWASILI DAR


Sean Kingston tayari amewasili jijini Dar usiku wa kuamkia leo katika uwanja wa Nyerere International airport kwa ajili ya tuzo za kilimanjaro zinazotarajiwa kufanyika Kesho ijumaa … Sean Kingstone…. Atapewa nafasi ya kutumbuiza pia kutoa tuzo ya Wimbo bora wa RAGGA . baadhi ya wasanii watakao toa burudani kesho ni
AY. . Fid Q. . Joh Makini. . Marlow. . African Stars – Twanga Pepeta.
. Mwansiti. . Lady Jaydee. , Mzee Yusuph na Vijana kutoka ZANZIBAR wanaotesa na wimbo wao wa Bata na Ahmada Offside Trick Pia watakuwepo . Wahapahapa pamoja na Ali Kiba

No comments: