Sunday, May 16, 2010

MR MISOSI HUU NI MWAKA WAKE


Mr misosi hii itakuwa ni mara ya kwanza kushiriki kwenye tuzo hizi na hatiame amefanikiwa kuchukuwa Tuzo ya Wimbo bora wa Ragga . Hapa Mr misosi akikabidhiwa na Sean kingston Tuzo ya wimbo bora wa Ragga. Mr misosi alikuwa akichuana vikali na
Dully Sykes (Shikide),
Bwana Misosi (Mungu yupo bize),
Drezzy Chief (Wasanii),
Benjamin wa mambo jambo (Fly).

No comments: