Friday, May 28, 2010

MOVIE YA THING FALL APART ITAMTOA ROHO 50 CENT


Daa jamaa huwenda akatoka roho .Unajua jama anasema alikuwa na mchizi wake alikuwa anaumwa na cancer ndio jamaa akampa mzuka na kuandika script ya movie iitwayo Things fall apart . Sasa hapa 50 emefanya diet ya nguvu ili akonde awe kama ana cancer ili akichukuwa shoot ya movie yake bc iwe ya ukweli.... Daa? hivi wewe unaweza kweli hali hii?
halafu jamaa si kama maskini bc tu.. hmm kaz kweli kweli . Gonga hapa usome mpagngo mzima.

No comments: