Thursday, May 6, 2010

HUYU NDIE BWAN CHUCHU, HUKU NDIKO ALIKOTOKEA SHOW KILA WIKI HADI KAMILIKI RADIO

FLEVA DJS MORE THAN DJS

Bwan chuchu. Ni mmoja kati ya wadau waburudani wasiosahaulika znz.. Jamaa alianza mbali sana. alikua akichakarika kutafuta hela. Show ilikuwa kila wiki znz. au hakuna show kama hakuna mkono wake chuchu. Ikafika hadi kumiliki bendi ya Chuchu sound. hakuridhika hadi kumiliki studio ya kwake Heart beat record. Mara tukasikia gazeti Ngoma moto. kwa sasa anakituo cha Radio Chuchu FM... bt umeona hiyo picha ? huko ndiko aliko toka jamaa
FLEVA DJS MORE THAN DJS

No comments: