Sunday, May 16, 2010

A T ACHUKUWA TUZO KWENYE KILI AWARDS


Kijana kutoka Zanzibar A T . hapa akikabidhiwa tuzo na Mwanamuziki mkongwe wa Reggae Ras Inno Nganyagwa . Tuzo hii ilikuwa ya Wimbo bora wa kushirikiana . AT ameshirikiana vizuri sana na Mwana dada Stara Thomas katika wimbo wa Nipigie... A T ni msanii kutoka zanzibar katika katagori hii alikuwa akishindana na Mangwea na Fid Q (CNN),
Barnaba na Pipi (Njia Panda),
Mwana FA na Profesa Jay na Sugu (Nazeeka Sasa),
Hussein Machozi na Joh Makini (Utaipenda).

No comments: