Thursday, May 6, 2010

KUNA TAARIFA ZA UMEME KUTOKA TANGA KWENDA PEMBA HUENDA UKAFANYIWA MAJARIBIO HAPO KESHO.

FLEVA DJS MORE THAN DJS
FLEVA DJS MORE THAN DJS
Kuna taarifa za umeme kutoka Tanga kwenda Pemba huenda ukafanyiwa majaribio hapo kesho.
Kwa Mujibu wa taarifa zilizopatikana Kisiwani Pemba, zinadai kuwa Umeme wa kutokaTanga utafanyiwa majaribio hapo kesho, baada ya kuwepo kwa ahadi ya umeme huo kuwa tayari mwishoni mwa mwezi April.
Baada ya kupata taarifa hizo za awali ,ZENJIFM RADIO kama kawaida ulimtafuta Meneja wa Shirika la Umeme Pemba Salum Masoud ili kupata taarifa za uhakika juu ya majaribio hayo.Bonyeza HAPA kumsikia Meneja wa Shirika la Umeme Pemba.....Salum Masoud

TEMBELEA BLOG YA ZENJFM KUPATA HARARI ZA KILA SIKU 96.8 ZENJFM

http://www.zenjfm.blogspot.com/
FLEVA DJS MORE THAN DJS

No comments: