Tuesday, May 11, 2010

TBL YAZIBORESHA ZAIDI TUNZO ZA KILI 2010


Meneja wa kinywaji cha Kilimanjaro Premium Lager George Kavishe, wakionyesha tuzo za kisasa zitakazotolewa na kampuni hiyo kwa wanamuziki bora wa mwaka huu kwenye mkutano uliofanyika mapema leo asubuhi kwenye ofisi za kampuni hiyo.. Kwa mujibu wa Meneja amesema Tuzo za mara hii zitakuwa zz ubora . Anasema wamejitahidi kuziboresha ili ziwe nzuri na mvuto zaidi. Amesema kulingana na wakati na muda bc nilazima tuzo zenyewe ziwe na kiwango . Tuzo hizi zinatarajiwa kufayika keshokutwa 14.05.2010 Diamond Jubilee Hall

No comments: