Sunday, May 2, 2010

FULL MOON PARTY KENDWA ROCK ILIKUWA NOMAA!!

FLEVA DJS MORE THAN DJS

DJ SIDE ON 1 & 2
Full moon party hii ilikuwa noma. Mambo yalikuwa hivi ..mpango mzima kwenye mashine nilikuwa mimi (Dj side) na Dj Dully kutoka pale pale kendwa rock. Bt mdna mwingi sana nilikuwa mimi kwenye mashine nikiwapa watu ladha . Muda wa kupumzika kidogo na kuenda chooni au kupata kinywaji ndio niikuwa nikimpa Dj Dully anishikie Kwani mimi hasa ndie Niliekuwa Dj hasaa wa usiku huu wa Full moon party .Watu walienjoy sana tena sana. Ngoma zote all around the world zilisikika . Nilihakikisha watu wote wanapata ladha .Kitu kizuri .tupo kwenye low season bt watu walikuwa wengi sana ..Wageni wa kila aina walikuwepo. kutoka DAR washkaji kibao walitia maguu. wazungu ndo usisemeee ndio kwao hasaa.
Kiufupi party ilikuwa mzuka sana.
FLEVA DJS MORE THAN DJS

DJ SIDE ON 1 & 2
Hawa jamaa ni Ma Djs kutoka U,K wakati nakamua hafla wakatokea kwenye sehem niliyokuwa nimetengewa kwa ajili ya Djs kutupa mawe. Nikawafungulia kijilango tukaanza kupiga story. Walijitambulisha Mmoja anaitwa Dj Ruuth. na Moja anitwa Dj Ellow. Walikuja wakawa na wao wamepandwa na mzuka na wao wanataka kukamua. bt wao watumie I phone yao. Niliiangalia Iphone yao nikawsetia Ili nione watafaya nini. Hapa walikuwa wanajiandaa kwa ajili ya kuanza.
FLEVA DJS MORE THAN DJS

Hapa nilikuwa nampa Maelezo huyu Djs Ruuth kutoka U,k ambae midadi ilimpanda akataka kuja kukamua but kwa kutumia Iphone yake mwenyewe!
FLEVA DJS MORE THAN DJS

FLEVA DJS MORE THAN DJS
Hapa Nilikuwa nawasetia ili waweze kutumia I phone yao waweze kukamua. Walikuwaa wanataka Kupiga ngoma kwa kutumia Iphone yao Ambayo ilikuywa imejaa ngoma za Mbelee. Hawa jaamaa walinishanagza sanaaaa. Maana walipiga tungi mpaka basi .Pombe kwenda mbele . Walikuwa Djs wawili wote wanatoka Uk ..Kitu kilichonishangaza ni Kwamba Bada ya pirikapirika Iphone ya imerambwaa. Hata sijui imeibiwa vipi. Naona wanakuja kwa Djs akili imewaruka Pombe teleee kichwani anasikitika Iphone hawaioni wanasema imeibiwa na alie iiba hawamjui. Alichanganyikiwa kwa kweli Duu. Nikasema Tz bwana hm Noma . Jamaa hata hajui saa ngapi watu wameilamba Iphone aliyokuwa akitilia Unore.
FLEVA DJS MORE THAN DJS

FLEVA DJS MORE THAN DJS
Dance hall bwana nmaaa!!! we acha tu. Huyu jamaa alikua anajinyonga kama nyoka .Maana daaa kaz kwel kwel Hapa akicheza dance hall nilizokua nikizidondosha . Muda huu kila mtu alikuwa bizee kimpango wakee kimyaaaa watu wanakula copo. Ni ma pini kwenda mbele..Mwanzo mwisho!!
FLEVA DJS MORE THAN DJS

FLEVA DJS MORE THAN DJS
Hii ndo campany niliotoka nayo town kwenda Kendwa. huyu ni Mtangazaji mwenzangu Emy C hapa akionekana Bizeee akizirudi. step kwa step.. Unajua ilikuwaje hapa? Hm hapa alikuwa akicheza wimbo wa kiarabu Golo Golo ya Miami. Nilikuwa kwenye michine bt nilipenda style na jinsi alivyokuwa akicheza .Nilikuwa sijamuona bt nilisikia kwa mbali Dj sideee woooowww!!! Nilidhani amepanda shetani Kumbe ni midadi tu. Nikawa namuangalia anachezaje..!!! I say? Sijui kama hana makole ya kimanga kama mimi.
FLEVA DJS MORE THAN DJS

FLEVA DJS MORE THAN DJS
Kwanja limekolea Kila mtu yupo bize na kuzirudi .Watu walikuwa hawajitambui hapa Ulikuwa ni mda wa Techno na House... Ukiona hiyo Picha inakwambia hasaa watu wapo bize kuzirudi . Halafu raha ya party hii ilikuwa na mchanganyiko wa watu tofauti. Wazungu , waarabu. wahindi. wachina. na African ndo usiseme . watu walikuwa nyomi sana
FLEVA DJS MORE THAN DJS

FLEVA DJS MORE THAN DJS
Hawa ni jamaa wa sarakasi wakifanya maajabu yao. Jamaa wanaitwa Jambo Brother wanapatikana hapa hapa znz .Ni waruzi sana na wana mvuto hasa. Kiufupi jamaa kwenye sarakasi wanaweza . Walifanya mambo mengi sana lakin kali zaid ilikuwa Kula moto. Duu Hii ilikuwa nomaa. Pamoja na mtu moja kuwabeba watu sita kwa wakati mojaa. Huwez kuamini bt ni kweli na ni Mambo ya sarakasi .
FLEVA DJS MORE THAN DJS

DJ SIDE ON 1 & 2
Pichani Hapa naoneka nikiwa Bizee naset mapini..Kiufupi party jana ilikuwa mzuka sana.Watu waliruka kwanja wasizozitarajia.. Nilicheza ngoma all around the world ... Kila aliefika pale alipata ladha. Ma mix kama kawa! hakuna kutoka nje ya biti wala kupopoa maembee. Raha mwanzo mwisho ladha zote..Nilihakikisha hatoki mtu kwenye Dance floor ila kwa kupata kinywaji au kupumzika. Show ilianza Saa 2 hadi saa 4 tuka break kidogo kwa kuangalia Sarakasi kutoka kwa Kikundi cha Jambo Brother Acrobat show. Ambao na wao walifanya vizuri sana. Kama saa 5 na 30 nikaanza Kushusha mizinga . Jiwe juu jiwe hadi kumi na moja asubuhi. kweupeee bado watu wanaruka kwanjaa..
Shukran zangu za dhati kwa wale wote waliofika kwenye paty. Kulikuwa na jamaa kibao kutoka Dar Nimegundua kweli watu wanapenda burudani .Wazungu ndo usiseme ..
Ni hayo tu .
FLEVA DJS MORE THAN DJS

1 comment:

Anonymous said...

ebanaee side naona kendwa mambo mazuri sasa nmekumbuka mbali mno sijui bara bara imetengenezwa ile maana ni long time nipo nje ya nchi ila july natia timu huko hah hah hah na viwanja nnavoviota kimoja hicho